Bruce Willis astaafu uigizaji

Ikaria

Member
Joined
Jul 17, 2019
Posts
93
Reaction score
238
Nyota wa filamu kutoka nchini Marekani Bruce Willis ameamua kuachana na uigizaji baada ya kubainika kuwa na ugonjwa wa aphasia.

Aphasia ni hali inayozuia mtu kuzungumza na kuandika. Mara nyingi ugonjwa huu husababishwa na uharibifu wa upande wa kushoto wa Ubongo.

Taarifa za kustaafu kwake zilichapishwa kwenye instagram kupitia akaunti za mke wa Emmy Willis pamoja na mke wake wa zamani Demi Moore.

Ni filamu gani ya Bruce Willis unaikubali sana ?

Your browser is not able to display this video.
 
Duuuh pole yake sana aiseee MUNGU amsaidie.
 
Dah!! Dunia inaendelea kupoteza burudani! Hamna kitu siku hizi'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…