Father of Chemistry
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 401
- 1,282
Soma kozi inayoeleweka. Ni bora ukasoma tu BscED ya Chemistry kuliko kusoma kozi haieleweki halafu ukaanza kujilazimisha kuwa Mwalimu wa Kemia wakati hukusoma Ualimu.Hellow wana jamii. Nilikuwa nauliza kwa upendo. Je! Bsc. Chemistry kwa apa nchini(๐น๐ฟ) ni nzuri na ina soko maana mimi ni first year mtarajiwa kusomea hii kozi.
Hapo baadaye unaweza kuwa mwalimu wa tuition.Hellow wana jamii. Nilikuwa nauliza kwa upendo. Je! Bsc. Chemistry kwa apa nchini(๐น๐ฟ) ni nzuri na ina soko maana mimi ni first year mtarajiwa kusomea hii kozi.
Daah koo nitasota kitaa sana bila ajira kama sina connection ๐ญHapo baadaye unaweza kuwa mwalimu wa tuition.
Kazi njema mkuu
Ooh sawa boss kwa ushauri๐๐Kama kichwa chako ni kizuri soma chochote na uwe tayari kutumia ulichosoma ili kuishi.
Dogo bora ukasome education ubobee kwenye hiyo chemistry na somo lingine either physics au biology.Daah koo nitasota kitaa sana bila ajira kama sina connection [emoji24]
Shukrani boss๐๐Dogo bora ukasome education ubobee kwenye hiyo chemistry na somo lingine either physics au biology.
Shukrani sana boss kwa ushauri wakoo,,, nimekupataa ๐ฏ% ๐๐๐๐๐๐Ni kozi nzuri, kapige msuli kwa sana. Jitume ukienda field jitolee sana usiwe mvivu, zaidi tengeneza urafiki wa karibu sana na lecturers wako watakupa michongo. Omba upangiwe sehemu nzuri pia za kufanyia field ujifunze mambo mengi zaidi. Kila lakheri๐๐ป
We umekomesha.kichwa kizuri ku solve equation au kubuni ajira.Kama kichwa chako ni kizuri soma chochote na uwe tayari kutumia ulichosoma ili kuishi.
Mkumbushe kitu inaitwa department GPA huko bsc.Dogo bora ukasome education ubobee kwenye hiyo chemistry na somo lingine either physics au biology.
Kwa sasa kila kitu mpaka connection.Daah koo nitasota kitaa sana bila ajira kama sina connection ๐ญ
Ndo nn kwanii๐ฟMkumbushe kitu inaitwa department GPA huko bsc.
Ahaaa uhakika ๐จ๐จKwa sasa kila kitu mpaka connection.
Inawarudishaga nyumbani hio, shauri yako. Kama slow learner asirogwe kusoma natural science masomo mawili.Ndo nn kwanii๐ฟ