Bsc. Forestry

Bsc. Forestry

Dogo hio course ni nzur sana na ajira zipo kibao,hao wanaokuambia ujiandae kuishi msituni ndio watakuja kukupa heshima
 
nadhani SUA, aisee ni course nzuri mno achana na hao hawajui kitu. ukipata ajira hasa kwenye plantation forest unakula shavu la maana hao wanaosoma kozi za kupaka rangi kucha wackuxumbue. yaan wizara ya maliasili na utalii ajira zake ni shida kiasi ila zinalipa just imagine Selous game reserve mwenye certfcate anakula per DM laki 5 kwa mwezi sembuse degree.
 
nadhani SUA, aisee ni course nzuri mno achana na hao hawajui kitu. ukipata ajira hasa kwenye plantation forest unakula shavu la maana hao wanaosoma kozi za kupaka rangi kucha wackuxumbue. yaan wizara ya maliasili na utalii ajira zake ni shida kiasi ila zinalipa just imagine Selous game reserve mwenye certfcate anakula per DM laki 5 kwa mwezi sembuse degree.

mavi yako...per diem laki 5 kwa mwezi ndio nini?
 
Back
Top Bottom