davyventure the great
Senior Member
- Dec 2, 2023
- 150
- 200
Napenda kuuliza kwa madaktari na wataalam wazoefu Kati ya cuhas -Bugando ,st Francis ifakara na kcmc -kilimanjaro wapi Kuna shule ya kutosha tunapozungumzia swala la bsc in doctor of medicine (MD) ufundishishaji , theory,field na mazingira ya kusomea .natanguliza shukran wakuu