ni nzuru sana kwani ni 2 in,,kwa hapa tz nazani inapatika st joseph pekee
Nashukuru kwa kunifahamisha nmechagua ya udsm
ni nzuru sana kwani ni 2 in,,kwa hapa tz nazani inapatika st joseph pekee
jamani samahani nilikosea nazani,,ni st joseph pekee kwa tanzania wanaotoa bachelor in engineering na sio bachelor in science
Vipi kuhusu course ya B.s in electronic science and communication inaajira wadau naomba kwa anaefahamu anijuze