BSc. in Software Eng vs BSc. in Computer Science

Muntu Ya Pori

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
222
Reaction score
64
Habari zenu wanajamvi.

Katika kuhangaika na second application nimeangukia fani hiyo na kuandikiwa umechaguliwa. Vip wadau wa hiyo kitu ipoje kwa ujumla wake?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Habari zenu wanajamvi.
Katika kuhangaika na second application nimeangukia fani hiyo na kuandikiwa umechaguliwa. Vip wadau wa hiyo kitu ipoje kwa ujumla wake?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
ni ya chuo gani?
 
Kuna MTU namfanyia hyo second lakini nikichagua course kwenye list alaf nacomfirm inaniambia cjatik check box kukubali conditions sasa ciioni hiyo check box naomba msaada

Check boxes zipo chini ya hiyo list

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Karibu dogo... College inaitwa Infomatics... Nitakupokea ila nimekutangulia miaka 2 coz hiyohoyo
 
Habar zenu wakubwa,,kama kichwa cha habari kinavyoonekana naombeni kujua kwamba kati ya kozi hizo hapo juu ipi inaunafuu kwenye soko la ajira??
 
nipe option zingine..nikusaidie kama hakuna fanya tu hiyo software engineering
 
Habar zenu wakubwa,,kama kichwa cha habari kinavyoonekana naombeni kujua kwamba kati ya kozi hizo hapo juu ipi inaunafuu kwenye soko la ajira??

Nenda software engineering
 
Habar zenu wakubwa,,kama kichwa cha habari kinavyoonekana naombeni kujua kwamba kati ya kozi hizo hapo juu ipi inaunafuu kwenye soko la ajira??

Ndugu yangu nenda computer eng kwa sababu utakuwa na uwanja mpana kama web design,database,networking,multmedia,programing, nk..alafu hapo baadae ndo uamue uspecialize ktk nn....lakn ukienda kwenye software utakuwa umejibana sana....
 
Mahitaji ya software hapa bongo ni madogo sana....ukitaka kuangalia hilo fanya simple research kwe matangazo ya kazi uone....mengi wanakuambia wanataka mtu aliesoma IT AU COMPUTER SCIENCE AU COMPUTER ENG na awe na uwezo wa kufanya vitu vingi kama vile nilivyokutajia juu....yaan networkin, databse,website nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…