Ninga R Umenichosha mbaayaa!
kwahali hii hata ungekuwa nani angetishika tuMbona hujamwambia kua mnasoma Minyoo elfu mbili, sisimizi elf tatu, kupe mia nane, papasi mia sita na chawa elf moja?? just saying.
KANAWE USO THEN UKASOME KITABU CHA TCU 2013/2014 ndio urejee tena jukwaaniInaitwa Bachelor of Vetenary Medicine(BVM) hakuna hiyo science mleta mada aliyoiandika
sante kwa ushaurikama unamarks nzuri nakushauri bora uende md kuliko bvm...
sante kwa ushauri
nahitajikujua soko la ajira na changamoto zake kiujumla
Umenichanganya uliposema Faculty ya Veterinary Medicine, Maana hiyo Faculty pale SUA inatoa kozi mbalimbali ikiwepo Veterinary Medicine yenyewe ndiyo maana nikawasijakuelewa vizuri.
Well speaking of BVM ni kozi ngumu sana kwa mujibu wa waliowahi kuisoma hiyo kozi na watu wanadisco kila kukicha ukileta masikhara. Ajira zake serikalini na sekta binafsi ni za wazi sana kwa kuwa hakuna competition kubwa maana wataalamu ni wachache sana. Pia wahitimu wa BVM wapo waliojiendeleza shahada ya uzamili (Masters) kwenye fani ya Human Anatomy () pale muhimbili na wakamaliza na sasa ni madaktari wa binadamu wapo mahospitalini wanapiga mzigo kama madaktari wengine wa MD.
Mishahara VMD kwa scale ya serikali ipo juu kidogo kuliko scale ya kawaida ingawa haifikii ile ya MD. So ni nzuri tu inategemea na wewe uchapalikaji wako.
Acha UONGO kaka.....kama hujasoma MD degree ya kwanza hujagusa mgonjwa hata usome phd ya nini....kuna BVM wanafundisha human anatomy baada ya kujiendeleza au masomo mengine ila kamwe hawezi kutibu KAMWE (kwa msisitizo)
Mkuu basi kunamtu kaniongopea, alisoma masters ya human anatomy hapo MUHAS na alikuwa na BVM na siku za hivi karibuni kaniambia anapiga mzigo hospitalini na mshahara wa kufa mtu bahati mbaya mimi nipo maboxini hivyo sijui kinachoendlea huko lakini kaniambia yupo hospitali private anakula vichwa kama kawa.
Sasa hapo kwenye kufundisha hao madaktari wa BVM inakuwa wanafundisha theory tu kwenye practical mawodini hawaruhusiwi au inakuwaje?
duh! Umenikata maini kabisaaa ila sidhani kama mshahara inafanana hebu prove it kwa kutoa ushahidi.
Kuna baadhi ya masomo wanaweza kufundisha hasa biomedical sciences kama anatomy baada ya kusoma Msc za anatomy, physiology ,biochemisty nk ila hawafundishi masomo ya clinical ambayo ndio utabibu wenyewe....hawawezi kutibu kabisa....jamaa yako atakuwa kakudanganya au labda hujamuelewa labda anafundisha chuo cha tiba ila private
Bvm ni more than md jamani,inawezekana kabisa bvm akamtibu m2 na pale sua kuna kozi inayowadail nursing,md,bvm na watu wa maabara na biologist hata muhas inawezekana hawa wa2 kutibu binadamu msibishe
mkuu kasome uje kuhudumia ng'ombe wa wakwe zangu kwa ujira wa 10,000 kwa mwezi.