He! BSS bado ipo? Inaonyeshwa stesheni ipi?Nimefuatilia na kuona vipaji vilivyopo mwaka huu ni vya hali ya juu sana.
Si ajabu watakaotoka wakawa bora sawa na waliobaki.
Naamini majaji watakuwa na wakati mgumu sana
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wadau wa muziki wanafuatilia mkuu, kipya ni beyond borders π πHivi hii kitu inaitwa BSS bado ipo?
Kuna watu bado wako busy kuifuatilia kwa kina?
Kuna kipya?
Mara ya mwisho kuwahi kuifuatilia labda miaka 15 iliyopita.
Wape kwanza vya zamani ili wajue kipi kipya wakuambie..!!!! Acha tabia ya kitu usichokipenda wewe basi kila mtu asikipende..!!Hivi hii kitu inaitwa BSS bado ipo?
Kuna watu bado wako busy kuifuatilia kwa kina?
Kuna kipya?
Mara ya mwisho kuwahi kuifuatilia labda miaka 15 iliyopita.
2012 π πMara ya mwisho kufuatilia washiriki walikua hawa akina Walter Chilambo
Sikumbuki mwaka, hapa nlikuwa nafuatilia hadi marudio maana sikuwa na shughuli yeyote nafanya2012 π π
Ndio huo mwaka nimeuweka hapo ππ... Ulikua bado shule ndio maana mkuu.Sikumbuki mwaka, hapa nlikuwa nafuatilia hadi marudio maana sikuwa na shughuli yeyote nafanya
ππHadi hela ya sabuni na nauli unapewa homeNdio huo mwaka nimeuweka hapo ππ... Ulikua bado shule ndio maana mkuu.
Sasa ungeachaje kutokufuatilia mkuu... Mimi huwa naikumbuka hiyo BSS ya kina Walter kwasababu ilikuwa kwenye mwaka ambao matokeo ya kidato cha nne yalitoka, yakafutwa halafu yakatolewa tenaππππππHadi hela ya sabuni na nauli unapewa home
Yale matokeo yaliumiza wengi sana Kuna ndugu yangu awamu ya kwanza alifaulu vizuri yalivyorudiwa akafeliSasa ungeachaje kutokufuatilia mkuu... Mimi huwa naikumbuka hiyo BSS ya kina Walter kwasababu ilikuwa kwenye mwaka ambao matokeo ya kidato cha nne yalitoka, yakafutwa halafu yakatolewa tenaππππ
Ni balaa yani ππππ, mtu anachekelea amepiga two yake ya C flat... Matokeo yanafutwa, nayarudi ana D mbili na miswaki kadhaa ππππYale matokeo yaliumiza wengi sana Kuna ndugu yangu awamu ya kwanza alifaulu vizuri yalivyorudiwa akafeli
Hakuna mahali nimeonesha kuichukia hiyo BSS, nimeuliza tu, maana ya kitambo sana, zama za muziki na vyombo vya habari zimebadilika mnoo.Wape kwanza vya zamani ili wajue kipi kipya wakuambie..!!!! Acha tabia ya kitu usichokipenda wewe basi kila mtu asikipende..!!
Ile ya Kala Jeremiah sijawah kufuatilia nyingineHivi hii kitu inaitwa BSS bado ipo?
Kuna watu bado wako busy kuifuatilia kwa kina?
Kuna kipya?
Mara ya mwisho kuwahi kuifuatilia labda miaka 15 iliyopita.
Au wanakuwekea F ya B/maths afu unapigwa penalty, siku hz penalty hamnaNi balaa yani ππππ, mtu anachekelea amepiga two yake ya C flat... Matokeo yanafutwa, nayarudi ana D mbili na miswaki kadhaa ππππ