BTP siku 14

Butoto

Member
Joined
Mar 7, 2015
Posts
12
Reaction score
0
Jamani wanajukwaa la elimu nimesikia kuwa wanachuo wa ngazi ya cheti na ngazi ya stashahada mwaka wa pili wiki ijao watakuwa na BTP ya siku 14 lakini nashangaa posho zao zinatofautiana kila chuo.
Baadhi ya vyuo wameambiwa watapewa sh.2500/= kwa siku wakati vingine sh.3500/=
Sasa swali hivi wizara imetoa posho kulingana na idadi ya kila chuo au imetoa kwa ujumla wake , na je nikawaida mwanachuo kwenda BTP kwa siku 14 au la ?
Naombeni ushauri wenu wadau wa elimu.
 
zinatosha hizo, wasije wakakomba na boom letu LA field mwez wa7. coz tutakuwa na field ndef si unajua teaching allawans zenyewe zinahtaaj walau chips kav
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…