Buchery business

GOLIATHI 2

Member
Joined
Apr 2, 2014
Posts
12
Reaction score
14
Habari zenu wadau... nafikiria kuanzisha biashara ya buchery ya nyama na samaki wa maji baridi hapa Dar Es Salaam. Mpango ni kuwatoa samaki mwanza na kuwaleta hapa Dar es salaam. Tafadhali mwenye dondoo na uzoefu wa biashara hii anisaidie tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…