Buchosa: Mwenyekiti wa CCM ajinyonga baada ya kukosa pesa ya matibabu

Watu mhimu hawana msaada mwashambwa na kundi lake Wana kula 7 Kila dei ujuha mkubwa
 
Masikini. Mwenyezi atuepushe na maamuzi kama haya
 
Halafu kijana mdogo tu huku anaiba billion 7 na kuzificha ndani.
Na wanaachwa tu
 
Kufa kila mtu atakufa hata mimi nitakufa ila zile kauli zao za mama anaupiga mwingi zinanikwaza kweli kwa hiyo mama kaupiga mwingi mpaka yeye kafa au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…