and youre like hell yeah ....Wapo wengi sana halafu wanakutaza kwa macho yanayosema 'come and get me tiger'
'Come and get me tiger........ Oh and don't forget your WALLET sweetie'Wapo wengi sana halafu wanakutaza kwa macho yanayosema 'come and get me tiger'
Hahaha mi nipo Royal Bar, zile detector hazina kazi paleNa kuangalia kama tumebeba bunduki na zile detector zenu
NdiyoRoyal ya Nyamala?
Hua kunakua na events live mbalimbali za viuno na mambo ya chumbani.Hio bar maarufu sana huwa kuna nini?