Buckets....

'Come and get me tiger........ Oh and don't forget your WALLET sweetie'
Ha ha ha ha nina mpango wa kutuma ndoo ya savanna kwanza!
 
Walinzi bata kwetu ni kiulizo, yaani tupo klabu lakin kaz ni kumshikia binti mkoba akiingia chooni na kuwaelekeza wenye magari pa kupaki.
Na kuangalia kama tumebeba bunduki na zile detector zenu
 
Hio bar maarufu sana huwa kuna nini?
Hua kunakua na events live mbalimbali za viuno na mambo ya chumbani.

Mfano Baikoko, Kanga Moko walianzia hapo, Kibao Kata, na mengine mengine
 
Hua kunakua na events live mbalimbali za viuno na mambo ya chumbani.

Mfano Baikoko, Kanga Moko walianzia hapo, Kibao Kata, na mengine mengine
Aisee.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…