Nimewahi ,lakini kwanini niendelee kujiongezea dhambi mkuu.Kwani hujawahi kufanya?
Nimewahi ,lakini kwanini niendelee kujiongezea dhambi mkuu.Kwani hujawahi kufanya?
Bora usiache Tu ....Nimewahi ,lakini kwanini niendelee kujiongezea dhambi mkuu.
Nataka kujitahidi niache kabisa,natafuta sehemu wanpofanya castration ya madume ya binadamu niende nikafanye ili nisisimamishe kabisa.Bora usiache Tu ....
Hahshaha...labda usiwe mwanaume wa kiafrikaNataka kujitahidi niache kabisa,natafuta sehemu wanpofanya castration ya madume ya binadamu niende nikafanye ili nisisimamishe kabisa.
Mwanaume Wa kiafrika bora akose pesa ila machine ifanye kaziNataka kujitahidi niache kabisa,natafuta sehemu wanpofanya castration ya madume ya binadamu niende nikafanye ili nisisimamishe kabisa.
Sio kwa miaka hii,machine ikiwa active sana ni mateso..nahisi machine ikiwa inactive wanaume wakiafrika tunauwezo mkubwa sana wa kuendeleza bara letu kwa speed zaidi ya China.Mwanaume Wa kiafrika bora akose pesa ila machine ifanye kazi
Mimi muafrika halisi,lakini nataka kupima uwezo wangu halisi bila kusumbuliwa na bwana abdala kichwa wazi.Hahshaha...labda usiwe mwanaume wa kiafrika
Oooh hayaaaMimi muafrika halisi,lakini nataka kupima uwezo wangu halisi bila kusumbuliwa na bwana abdala kichwa wazi.
Checkered shirt na chino ndo zipojeUnauliza masaa 10 baadae? Mimi huwa siku zote navaa checkered shirt na jeans au chino hivyo vitabadilika rangi tu.
[emoji33] [emoji33] [emoji33] zamani enzi zetu ilikuwa inaitwa aminifu barRoyal ya Nyamala?
Ni ya zamani sana mkuu kama corner bar tu vile....zamani ilikuwa ikiitwa aminifu barHio bar maarufu sana huwa kuna nini?
Checkered shirt ndio ikoje mkuu hebu nitoe ushamba kidogoUnauliza masaa 10 baadae? Mimi huwa siku zote navaa checkered shirt na jeans au chino hivyo vitabadilika rangi tu.
Ok,nimekusoma!Checkered=Draft
Chino=cadet slim fit
Hakika mkuu.tuko wachache sana.