Mzee wa Mtaa
Member
- May 29, 2019
- 37
- 77
Nigeria ni nchi iliyo juu sana kiuchumi hapa Africa
Budget yake ni $29 bln
GDP per 2017
Budget ya Kenya
Budget yake ni $29 bln
GDP per 2017
Budget ya Kenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona hupati usingizi, habari hii imekuzingua sana, nikupe piriton?Nigeria ni nchi iliyo juu sana kiuchumi hapa Africa
Budget yake ni $29 bln
GDP per 2017
View attachment 1126261
Budget ya Kenya
View attachment 1126263
1.CorruptionWhat are top 5 biggest projects of Kenya for the coming year?
Ma-gap kama haya ndio hua yananifanya niione CCM ni group la monkeys!Nigeria ni nchi iliyo juu sana kiuchumi hapa Africa
Budget yake ni $29 bln
GDP per 2017
View attachment 1126261
Budget ya Kenya
View attachment 1126263
Chunga usipigwe rungu na hao hao uliowataja.Ma-gap kama haya ndio hua yananifanya niione CCM ni group la monkeys!
Monkeys are always monkeys!
Ahaa ila nyie wenye budget kubwa ilhali mna wafa njaa wengi sio monkeys ?Ma-gap kama haya ndio hua yananifanya niione CCM ni group la monkeys!
Monkeys are always monkeys!
Siogopi mkuu...Chunga usipigwe rungu na hao hao uliowataja.
Umasikini uliotopea halafu unaona hakuna anaelala njaa ujue huo ndio umasikini mbaya kabisa..Ahaa ila nyie wenye budget kubwa ilhali mna wafa njaa wengi sio monkeys ?
Poleni sana hata sielewi hii budget kubwa yaganyiwa nn ilhali mna wafa njaa wengi madaktari kugoma na miradi yenu kuzorota.
Tatizo nini haswa, kukoza kazi au hali ya uchumi?Siogopi mkuu...
Tushawachoka hawa CCM monkeys...I'm sorry for this!
I'm really fed up!
MkuuTatizo nini haswa, kukoza kazi au hali ya uchumi?
Mkuu
Uchumi ni ZERO!
Demokrasia ni ZERO!
Rule of Law ni ZERO!
Constitution ni ZERO!
Institutions are all ZERO!
Na matatizo yote haya ni hili jitu linaitwa CCM....I wish siku naamka asubuhi nakuta CCM imeyeyuka!
Mkuu, ukiikosoa CCM utapewa uraia wa Kenya wewe! Huna uzalendo eti 😂Mkuu
Uchumi ni ZERO!
Demokrasia ni ZERO!
Rule of Law ni ZERO!
Constitution ni ZERO!
Institutions are all ZERO!
Na matatizo yote haya ni hili jitu linaitwa CCM....I wish siku naamka asubuhi nakuta CCM imeyeyuka!
Ndivyo walivyo CCM.....wakiona umewaambia ukweli na hawana majibu wanaanza kukuita wewe Mkenya sio Mtanzania as if kua Mtanzania halafu huna chakula na maisha mazuri ni sifa!Mkuu, ukiikosoa CCM utapewa uraia wa Kenya wewe! Huna uzalendo eti 😂
Vipi umesahsu kwamba uchumi wa Nairobi ni kubwa kuliko wa Tanzania?mbona ipo hivyo muda tu ni kama vile uchumi wa lagos ulivyo mkubwa kuliko wa Kenya kama nchi.
Ashapewa already. Imebaki tu jina, pengine atapewa OnyangoMkuu, ukiikosoa CCM utapewa uraia wa Kenya wewe! Huna uzalendo eti 😂
Vipi umesahsu kwamba uchumi wa Nairobi ni kubwa kuliko wa Tanzania?
Bado hujachoka kumbe.Ndivyo walivyo CCM.....wakiona umewaambia ukweli na hawana majibu wanaanza kukuita wewe Mkenya sio Mtanzania as if kua Mtanzania halafu huna chakula na maisha mazuri ni sifa!
These CCM people are head cases....tumeshakaa nao miaka 58 tangu tupate uhuru 1961!
Na wanazidi kutuumiza!
Nikichoka sana siku napakia ndege naenda kukaa Syria kabisa!