Buffon: “Referee can’t have the cynicism to destroy the effort of a whole team

Kati ya wachezaji mpira wenye nidham na good sportsmanship ni Buffoon ila basi tuu. It hurts to the core. Ila soccer la mahesabu nakujituma liko Italia. Wacha hao real wapangwe wakutane na Bayan
Bayern kwa madrid ni wepesi sana tena Bayern hii hamna kitu kabisa. Juventus wamepambanana sana hakuna aliyetegemea kufanya vile tena ugenini. Refa ndio kawamaliza
 
kwa hiyo mtu akiwa mbele yako anapokea mpira wa juu umkabaje?umuache afunge?hoja ni faulo,na hapakuwa na faulo,hakumsukuma na alinyanyua mguu na kuugi
usa mpira ukachange direction kwenda kwa Buffon.Angalia video,not still picture.
 
Mchezaji akishakuwa mbele yako hasa kwenye position ya kufunga ukimgusa ni penati, ww kwa mawazo hakuwa faulo ile na kama jibu ni ndio ulitaka refa atoe nje ya kumi na nane?
kwa hiyo situation hiyo mabeki hawaruhusiwi kukaba?
 
kukabia nyuma inaruhusiwa,mpira aliugusa,kulikuwa na contact ila hakumsukuma.
 
hii picha mnato inawadanganya.hiyo ni contact,issue ni dhumuni la contact,je alimsukuma au forward alikuwa anazuia kwa mgongo wake Benatia asiufikie mpira?angalieni video slow motion from different angles na Benatia aliugusa mpira,hakumsukuma wala kumvuta,jamaa yenu akajiangusha baada ya mguu wa Benatia kuokoa mpira.it was 50-50,ambayo sio sahihi kutoa penati.
 
Kuna watu mnapenda ubishi ! Sasa mpira upo mbele kifuani, wewe upo nyuma unauchezaje ?!
Kwanza elewa, CR7 alikuwa ameua offside wakati anatoa hiyo pasi ya kichwa kwenda kwa Lukas, ambaye alikuwa ametangulia mabeki wote wa Juve wakiokuwa wameweka mtego wa off side. Hivyo huyo baki akaduri kuwahi tukio ndio maana akalazimisha kucheza kwa nyuma.
 
kaangalie tackling za akina Cannavaro ujue unauchezaje tokea nyuma.refa mshamba tu.
 
Me maandazi wewe ni chapati yaani unashindwa kujibu hoja Tactically, haya tuambie kwanini hawapo World Cup?
NAFIKIRI UTAKUWA UMEELEWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…