FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Ni aibu Kwa uongozi mzima wa hospitali ya Bungando na wafanyabiashara wakubwa jijini Mwanza kushindwa kuwanunulia simu bora na za kisasa madaktari bingwa wanaookoa roho za maelfu ya wagonjwa mfano unakuta daktari bingwa specialist kama dr.Agnes Haule anatumia simu ya tochi isiyosikika vyema,sasa atawasiliana vipi na wagonjwa ilihali aljpaswa kujiunga Instagram au WhatsApp au Facebook kutoa elimu zaidj hata Anko Magu yumo twitter kutoa maoni na kuwafikia wananchi zaidi
Uongozi mjitathimini mamilioni mnayoingiza kila siku yanaenda wapi,na mwape simu za Apple siyo za bei chee
Instagram:kaukwaju
Uongozi mjitathimini mamilioni mnayoingiza kila siku yanaenda wapi,na mwape simu za Apple siyo za bei chee
Instagram:kaukwaju