Bugatti wazindua generation mpya, Bugatti Tourbillon Hybrid itakayomrithi legendary Bugatti Chiron!

Bugatti wazindua generation mpya, Bugatti Tourbillon Hybrid itakayomrithi legendary Bugatti Chiron!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Muda hautoshi, vyuma vinatolewa kila siku.

Kampuni ya Kibabe ya Magari kutoka Ufaransa, Bugatti wameamua kutuletea generation mpya ya gari yao itakayomrithi Bugatti Chiron aliekuwepo tokea 2016 na sasa officially imeachwa kutengezwa 2024, na tumepewa Bugatti Tourbillon.
images (25).jpeg
bugatti-tourbillon.jpg

Hii gari ina cc 8300 V-16 engine, inayotoa horsepower 1000, na pia ina electric motors zinazoongeza horsepower nyingine 800 na kua na jumla ya 1800 hp.
bugatti-tourbillon-interior.jpg

Kwa wazee wa bei, inaenda $ 4 Million, bila ushuru wa TRA.
 
Muda hautoshi, vyuma vinatolewa kila siku.

Kampuni ya Kibabe ya Magari kutoka Ufaransa, Bugatti wameamua kutuletea generation mpya ya gari yao itakayomrithi Bugatti Chiron aliekuwepo tokea 2016 na sasa officially imeachwa kutengezwa 2024, na tumepewa Bugatti Tourbillon.
View attachment 3022206View attachment 3022210
Hii gari ina cc 8300 V-16 engine, inayotoa horsepower 1000, na pia ina electric motors zinazoongeza horsepower nyingine 800 na kua na jumla ya 1800 hp.
View attachment 3022211
Kwa wazee wa bei, inaenda $ 4 Million, bila ushuru wa TRA.
Gari ya 4M usd halafu ya kisasa kabisa haina infotainment screen, natafakari hizo features sijui una set vipi na kutizama wapi. .. Mfano map, launch control, camera wakati wa reverse, umbali unaokwenda tokana na fuel iliyopo, pressure kwenye tyres n.k...
 
Hizi gari zitapatikana bongo labda 2050 baada ya kupitia Japan na kuelekea kuwa chuma chakavu.

Sioni mbongo wa kutoa 20B kwa sasa ili apete hiyo chuma, ambazo kila siku Mo ananapambana na akina mzee Kilomoni na wenzake lakini inasadikika amesusa kuziingiza kwenye account.
 
Bongo utaendeshea barabara gani?
Nunua kwanza. Ya barabara utayajua mbele ya safari. Hivi unaamini kwamba nchi kama Kenya, Ethiopia nk wana barabara nzuri kuliko sisi? Ila ukienda Nairobi…utakuta magari mazuri kuliko hapa kwetu.

Tukubali wabongo wengi uwezo wetu kiuchumi ni Mdogo. Ndo maana hata humu JF discussions ni magari ya 2000s mpaka 2010. Ukiona mtu anaongelea gari ya 2015 kuja mbele huyo ni middle class aliyechangamka.

Ingawa pia na kodi za magari hapa kwetu siyo rafiki.
 
Back
Top Bottom