Kimboka pale ni shida.Alafu pembeni ni kimboka
Hiyo mixer unaweza kuta ni ya ng'ombe kama 10 hivi.Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500,
Wali ule unaouzwa 2000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Vijana wa hovyo mnawaza dhambi muda wote, hahaha.Alafu pembeni ni kimboka
juzi nimekutana na bubu nae yupo anatoa huduma papuchi😔😔Kimboka pale ni shida.
Yule mzee alikula mpaka mtoto wake wa kumzaa, ndio maana baa imejaa laana ile.
we usie👿kuwa wa hovyo waza rozari na tasbihiVijana wa hovyo wanawaza dhambi muda wote, hahaha.
Bubu anajiuza? How?juzi nimekutana na bubu nae yupo anatoa huduma papuchi😔😔
Ulimshawishi kwa njia ya ishara?!juzi nimekutana na bubu nae yupo anatoa huduma papuchi😔😔
Hiyo baa ni ya kitambo sana.juzi nimekutana na bubu nae yupo anatoa huduma papuchi😔😔
ooooohhh kumbe msamvu nao wapo?Isijekuwa wameimport kutoka Iringa au Msamvu Morogoro
Mkanegotiate nae vipi sasa. Au bei elekezi?juzi nimekutana na bubu nae yupo anatoa huduma papuchi😔😔
we unataka supu au hutaki?Nyama robo ni 2500 na inatoa vipande 18 vidogo vidogo yva nyama. Hii wanauza 500 Ina vipande vingi hivyo wanatoaga wapi? 🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️