Mtukutu Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,117
- 1,403
Mwamba amevurugwa [emoji1787][emoji1787]Yaan Buguruni/tandale/manzese/mwananyamala hizo sehem ziwe na mahali pametulia kweli uko serious ndg?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaweza kupata bikra kwenye ward ya wazazi kama kuna nesi bikraKaribu daslama ila tunasikitika kukwambia buguruni kupata eneo limetulia ni sawa na kutafuta bikra ward ya wazazi
Mnatokea Mbeya na mchumba wako au?Next nina meeting na mchumba nataka nikutane naye Buguruni ingawa sivijui vizuri viwanja vya pale Nipeni location
Pub gani nzuri au mahalo pazuri nitulie na mtoto JoJo kuwe lodge muhimu Sana [emoji2937]
Mbona pachafuu mnooo!Kitu pekee kilichotulia Buguruni ni lile daraja la wavuka kwa miguu...
Fika viwanja vya buguruni SPENCON pale hutajutiaNext nina meeting na mchumba nataka nikutane naye Buguruni ingawa sivijui vizuri viwanja vya pale Nipeni location
Pub gani nzuri au mahalo pazuri nitulie na mtoto JoJo kuwe lodge muhimu Sana [emoji2937]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3526][emoji3526]nimecheka sanaaa!dah umaskini unatupa tabu sana
Kavurugwa huyo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]hauko serious buguruni itulie?wapii?ghana?malapa?rozana?kwa mnyamani?kwa biti madenge?au pale sheli?haipo ndugu yangu na labda izaliwe upyaa...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mlongoo acha Kabisaa tuna kibanda kulecha urithi[emoji16][emoji16][emoji16]natamani kukihamisha nikiweke ht mbagala mbande,uzuri wa paleni centre yaani Kama magomeni vile popote unafika mda wooote ndani ya Dar[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wamevurugwa wallah, khaaah.
[emoji16][emoji16][emoji3526][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kavurugwa afu kavurugwa Tena!![emoji16][emoji16]kanikumbusha jirani yetu alivyoibiwa jungu la ubwabwa afu siye tukaibiwa ndalaKavurugwa huyo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda KibahaNext nina meeting na mchumba nataka nikutane naye Buguruni ingawa sivijui vizuri viwanja vya pale Nipeni location
Pub gani nzuri au mahalo pazuri nitulie na mtoto JoJo kuwe lodge muhimu Sana [emoji2937]