'Buhari Is So Lifeless!': Asema Trump Baada Ya Kikao Chake Na Rais Wa Nigeria- Financial Times

Aliwawakilisha hao aliowajadili, somalia, sudan, Tz hana hadhi ya kuiwakilisha, aiwakilishe kwenye jambo gani kwa mfano. Nyie mnachekesha kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hamjatajwa inamaanisha hampo kwenye ratiba ya masuala muhimu duniani mwaka huu. Endeleeni kununua wapinzani kwanza bila presha.
 
Kweli hatujipendekezi kwa wazungu lakini tunaomba misaada kwao.
Miaka ya sabini tuliona msaada wa chakula tukaletewa unga wa njano kutoka Marekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hamjatajwa inamaanisha hampo kwenye ratiba ya masuala muhimu duniani mwaka huu. Endeleeni kununua wapinzani kwanza bila presha.
Masuala muhimu ya binadamu duniani ni life made easier, reasonable settlement, shibe, usalama wao, mavazi, elimu etc. Ambavyo Tz tunavyo na tunazidi boresha.
Hayo mengine ni nonsense.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nigerians wamelipuka, this's what I like about them..
And Trump just gave Buhari's opposition ammo..

Former Vice President Atiku Abubakar through his twitter handle @atiku said: “This is why I am running for President to get Nigeria working again.."

Former President Goodluck Jonathan’s aide, Reno Omokri.. “If the leader of the free world can’t stand @MBuhari and believes that he is ‘lifeless’,..We need an assertive leader who can look Trump in the eye and say NO! Buhari is not that leader.”

Henry Shield @henryshield said: “Every U.S. President has access to high-level, top-secret, intelligence reports..Rather than laugh at @realDonaldTrump’s calling of President Buhari ‘lifeless’, we should ask if there is something he knows that Nigerians don’t.”


Nigerians react as Trump calls Buhari ‘lifeless’
 
Good thing na hawa wenzetu, they're opinionated and direct.
Hawapindishi maneno.
 
Good thing na hawa wenzetu, they're opinionated and direct.
Hawapindishi maneno.
Wanigeria wenyewe wanasema kwenye vlkao kama hivyo akili za rais wao huwa zipo kwenye ng'ombe wake kule nyumbani. [emoji1] On a serious note, image ya rais na anavojibeba ni suala nyeti sana, sanasana wakati anazuru kwenye nchi za wenyewe.
 
Wanigeria wenyewe wanasema kwenye vlkao kama hivyo akili za rais wao huwa zipo kwenye ng'ombe wake kule nyumbani. [emoji1] On a serious note, image ya rais na anavojibeba ni suala nyeti sana, sanasana wakati anazuru kwenye nchi za wenyewe.


Hahah!, eti Ziko kwenye ng'ombe..
Ni kweli aseh!, Image ni muhimu sana.

Like, this pic is such a bad Image and PR for President Buhari.
Whatever point Trump was making, Buhari seemed aloof. He could've at least lean forward, keep eye contact or do something else to show the engagement and well...full of life!

 
Hapo kwenye picha trump alikuwa anampa mkono, lakinl akili za Buhari nadhani zilikuwa kule Maiduguri.
 
Red carpet gani hiyo ya kupigia picha tu? Red carpet wanaikanyaga wakati wanatembea. Ulitaka wakumbatiane ili watoshee? Ona akili zako za kizinzi! [emoji1]
saa ingine usitumie akili hizi za usiku,nikuulize hapo imetumika protocally gani ya usimamaji??
 
Kwa heshima kubwa hizo za mikeka jombaa acha mjadili na huyu zero brain mwenzako hapa chini. Hizo sitawezana nazo. Asanteni.
ushajipima ukagundua hutoshi,haya kalale,nex chunga unakujaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…