'Buhari Is So Lifeless!': Asema Trump Baada Ya Kikao Chake Na Rais Wa Nigeria- Financial Times

Rais Uhuru Kenyatta ndiye 'regional leader' ukanda huu wa Afrika ya mashariki na kati. Hao wengine wanaopenda kuvaa kofia za ajabu ajabu wanajuana wenyewe kwa wenyewe tu.
Toka lini Kibaraka wa Marekani akawa Leader, ?
Halafu mbona unatulazimisha mzee,?
 
Mkuu, kikwete kaitia hii nchi hasara sana. FYI you dont understand, his smile confused you, uchumi wa Tz unapaa as per ccm manifesto, not kikwete or magufuli. Geez, you're so misinformed, hawa presidents wanafuaga ilani za chama, mizunguko ya kikwete iliitia hoo nchi hasar hadi watu wakamwita vasco da gama. Woi, nikuache hapo, sina time. But you dont understad, magu is the best.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Uhuru Kenyatta ndiye 'regional leader' ukanda huu wa Afrika ya mashariki na kati. Hao wengine wanaopenda kuvaa kofia za ajabu ajabu wanajuana wenyewe kwa wenyewe tu.
Magufuli ameshinda awards karibu zote za viongozi zinazowahusu presidents wa Africa, tangu Magufuli awe rais Kenyatta amepotea kabisa, kumbuka kabla ya Magufuli aliyekua akitamba alikua Kagame, utasemaje ni rais bora wakati ameshindwa kupambana na corruption, tribalism, police killings, hunger and nepotism?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona Uhuru anayezurura hovyo kila siku lakini uchumi haukui kama Tanzania na kwanini tangu Magufuli aache kazi uchumi unazidi kuimarika na tunafanya mambo makubwa zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uyoga mwingine huko western unaitwa 'rogosumu'. Kubwa utadhani karai. Lol...
[emoji1][emoji1][emoji1]Hizo kofia za kihuni huwa wanazivalia wakati wanatema mistari, do you want another rap?
 
[emoji1][emoji1][emoji1]Hizo kofia za kihuni huwa wanazivalia wakati wanatema mistari, do you want another rap?
Utumwa bado umebaki vichwani mwenu, Tanzania tulishajitawala kisiasa, kiuchumi, na kiutamaduni. Kamwe hatuna ulimbukeni wa kuthamini lugha ya kigeni, hasa za watu waliotidhalilisha na kudharau utamaduni wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haa! Eti Trump kajichokonoa pua? Acha zako, akili za Buhari ndio zimeenda halftime! [emoji1]
 
Kwa hiyo wakaamua wajenge miundo mbinu ya east African !!!!, kuhusu Sudan wameamua itakuwa jumbo la Kenya mipaka Uganda na Tz itakuwa mkoa wa Nairobi, ambapo Rwanda ni Wilaya za kibera slams. Sijui kama nimekuelewa sahihi.
Hujaelewa chochote ila unajaribu sana.
 
Utumwa bado umebaki vichwani mwenu, Tanzania tulishajitawala kisiasa, kiuchumi, na kiutamaduni. Kamwe hatuna ulimbukeni wa kuthamini lugha ya kigeni, hasa za watu waliotidhalilisha na kudharau utamaduni wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Endeleeni kujitawala jombaa. Hata wasomali nao pia wanajitawala wakitumia lugha zao.
Yaani hizo tuzo alizoshinda Jiwe walimtumia kwenye posta? Hata kumualika akazipokee waliogopa? Wewe nawe bana.
 
Toka lini Kibaraka wa Marekani akawa Leader, ?
Halafu mbona unatulazimisha mzee,?
Kibaraka kwasababu kaalikwa kwenye ikulu ya Trump? Kwahivyo Buhari na rais wa S.A pia ni vibaraka? Sawa jombaa.
 
Endeleeni kujitawala jombaa. Hata wasomali nao pia wanajitawala wakitumia lugha zao.
Yaani hizo tuzo alizoshinda Jiwe walimtumia kwenye posta? Hata kumualika akazipokee waliogopa? Wewe nawe bana.
Huna unachojua unapiga kelele kama mbuzi jike, mwezi ujao Chissano atakuja Dar kuja kumkabidhi tuzo ya ukombozi aliyoshinda hivi Karibuni, tuzo zote za Africa zinapelekwa kwa mshindi sio mshindi kuitwa kwenda kuipokea, na hata wakimwita atapeleka mwakilishi, kwanza ni nyingi sana hatoweza kuzurura hovyo wakati kuna mambo ya msingi ya kufanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1][emoji1][emoji1]Hizo kofia za kihuni huwa wanazivalia wakati wanatema mistari, do you want another rap?
Hahahaaa! I guess something like gangstarr full clip rap.....don't need filthy corps in my hooood!, when me taking my dope with ma fellow niggaz, bring them dope beats cause we're hi on 'em.......... lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…