Buhigwe ya kijani #kazi iendelee

Buhigwe ya kijani #kazi iendelee

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
FB_IMG_1621092832773.jpg
 
90% ya watu wanaoonekana kwenye huo mkusanyiko.

Wamesombwa na maroli, Treni na ndege kutoka sehem mbalimbali nchini.

Mf: Nape na crew nzima kutoka kusini
 
Ccm siku hizi inajipigia tu kilaini maana majama yalishaelekea kibra yenyewe huku yakiimba Samia mi 10 tena na ccm mbele kwa mbele
 
Kuna sura naziona Apo kwenye mkusanyiko

zinaonyesha masononeko makubwa moyoni mwao.

Bila Shaka Ni watumishi wa serikali na familia zao waliolazimishwa kuhudhuria mkutano wa siasa

Na Kulazimishwa kusaini daftar la mahudhurio.
 
Nasikia ACT wameshapigwa halafu wameanza kulia lia, Nape aliwaonya mapema sana ila hawakusikia
 
Back
Top Bottom