Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Tutafanyaje sasa??Ccm siku hizi inajipigia tu kilaini maana majama yalishaelekea kibra yenyewe huku yakiimba Samia mi 10 tena na ccm mbele kwa mbele
Kwani Nape ni Nani ktk nchi hii??.Nasikia ACT wameshapigwa halafu wameanza kulia lia, Nape aliwaonya mapema sana ila hawakusikia