Buildings ( majengo)

JOFREY GEORGE

Member
Joined
Oct 9, 2013
Posts
8
Reaction score
1
Naitwa jofrey george, mwandisi wa majengo, nafanya kazi za kuchora ramani za majengo aina zote, kupiga gharama za ujenzi(bopq), kusimamia ujenzi na ushauri wa kitaalamu kuhusu majengo, mnakaribishwa sana. 0754-085778
 

Attachments

  • mkuya 3.pdf
    mkuya 3.pdf
    4.3 MB · Views: 151
  • s2.jpg
    79.5 KB · Views: 187
Naitwa jofrey george, mwandisi wa majengo, nafanya kazi za kuchora ramani za majengo aina zote, kupiga gharama za ujenzi(bopq), kusimamia ujenzi na ushauri wa kitaalamu kuhusu majengo, mnakaribishwa sana. 0754-085778

Mi nilizani umeattach cv yako!
 
Hivi...kwa nini siku hizi kila architect anakuja na mbwembwe za 3D drafts zimerembwa zinapendeza..mpe kazi achore detailed plan sasa, madudu matupu! Nimeshawachoka marchitect wa JF!
 
hongera sana mkuu! Wataalam wetu si ndo hawa jamani.....mkuu tunataka uwe msaada kwetu kwa kusaidia mambo muhimu ya kazi yako hiyo!
Hivi ni hatua gani natakiwa kuzifuata ninapotaka kujenga ghorofa? Please
 
hivi...kwa nini siku hizi kila architect anakuja na mbwembwe za 3d drafts zimerembwa zinapendeza..mpe kazi achore detailed plan sasa, madudu matupu! Nimeshawachoka marchitect wa jf!

hahahah mbwembwe za arch cad hizo mkuu hawajua detailed plan ni zaidi ya arch cad na hapo ndo uwezo unaonekana
 
Please wanajf.....
Tusiwakatishe wataalam wetu kwa kuangalia nani alifanya nini na akawaje...hebu tuwape nafasi kwani mbona zamani tulikuwa tunatumia file system kwenye ofisi?lakini kwa sasa ni computer! tuwape moyo na mawazo mapya
 
hahahah mbwembwe za arch cad hizo mkuu hawajua detailed plan ni zaidi ya arch cad na hapo ndo uwezo unaonekana

hılo nı kama tangazo la bıashara na what he can do sıdhanı kama kuna haja ya yeye kuweka detaıled drawıngs hapa au unataka ukauze nın?kama umevutıwa mpe kazı akıfanya ovyo sıuache kumlıpa?
 

Well said e2j1! I apreciate you
 
asante kaka sory kwa kuwa kimya mda mrefu nilikuwa naumwa, kama unahitaji hatua hizo nicheki kwenye namba yangu then ntakupa maelekezo 0754085778
 
kaka kama unataka kazi sema utajaji mwenyewe, maana ukiweka floor plan hapo kila mtu anachukua then hutaona mtu anakutafuta
 
asante kaka kwa uelewa wako, maana ukiweka floor plan hapo hutapata mtu wanaichukua halafu hautafutwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…