Yaliyonikuta ni makubwa, Wacha nikupe mkasa kwenye Uzi maalumBujibuji Simba Nyamaume Mwalafyale wewe ni mwenye kiti wa mtaa, unapoondoka bila taarifa kero za mtaa wetu tuzipeleke kwa nani.
Nyamaume ulipita kwa kura zote japo kulikua na figisu lakini ushindi wako ulikua bayana mpaka wale waliokata pumzi ilibidi wakuapishe.
Kama uko salama huko ukoko ninakutakia kila la kheri. Karibu nyumbani kama ulikwenda holiday kidogo.
Kwani hujasoma gazeti la Motomoto?Huo uchaguzi ulifanyika lini?
Unamfahamu tajiri Bill Lugano? Basi alinipa ofa ya kwenda kuzurura kwenye visiwa vya mbali huko KiribatiNimefurahi kukuona Mwalafyale.
πππππUnamfahamu tajiri Bill Lugano? Basi alinipa ofa ya kwenda kuzurura kwenye visiwa vya mbali huko Kiribati
Huo uchaguzi ulifanyika lini?