BUKAVU: M23 na FARDC Wawashiana moto mpakani

BUKAVU: M23 na FARDC Wawashiana moto mpakani

Marie Antoinette

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
426
Reaction score
412
Baada ya kuwa M23 iliingia mjini Bukavu jana jioni, iliendelea na mambo yake, na leo asubuhi ndo jeshi lake likawasili mpakani,na kukuta pako wazi, baada ya jeshi la serikali na wafanyakasi wa sekta mbali mbali.

Taarifa zilizopo, ni kwamba baada ya uwanja wa ndege wa Kavumu kukamatwa na M23, bunduki nzito zilielekezwa Rwanda. Kwa bahati mbaya, Rwanda kama ilichokifanya Goma, tayari ilishajiandaa kujibu mapigo.
Kwenye video hapo, mwanahabari kutoka Rwanda, anaonyesha picha ya kombola lililodunguliwa na mfumo wa kuzima makombola wa Rwanda. Hivyo, limezimwa kabla halijatua na kusababisha maafa.

Ikumbukwe, M23 ilichelewa kutangaza ushindi wa moja kwa moja mjini Bukavu, baada ya intelijensia yake kuwa na taarifa za wanajeshi wa Burundi, DRC na wazalendo kuwawekea mtego ili wasagwe kweli kweli.
M23 baada ya kuzidaka, haikukurupuka, ikajiandaa na kuwapa wanachostahili. Pichani ni badhi.

View: https://x.com/Mamaurwagasabo1/status/1891087815095558190
 
Jeshi la m23 na migambo wa FARDC..mna kimbia mji afu mnaenda kurusha mawe mpakani kama mbwa koko
 
Baada ya kuwa M23 iliingia mjini Bukavu jana jioni, iliendelea na mambo yake, na leo asubuhi ndo jeshi lake likawasili mpakani,na kukuta pako wazi, baada ya jeshi la serikali na wafanyakasi wa sekta mbali mbali.

Taarifa zilizopo, ni kwamba baada ya uwanja wa ndege wa Kavumu kukamatwa na M23, bunduki nzito zilielekezwa Rwanda. Kwa bahati mbaya, Rwanda kama ilichokifanya Goma, tayari ilishajiandaa kujibu mapigo.
Kwenye video hapo, mwanahabari kutoka Rwanda, anaonyesha picha ya kombola lililodunguliwa na mfumo wa kuzima makombola wa Rwanda. Hivyo, limezimwa kabla halijatua na kusababisha maafa.

Ikumbukwe, M23 ilichelewa kutangaza ushindi wa moja kwa moja mjini Bukavu, baada ya intelijensia yake kuwa na taarifa za wanajeshi wa Burundi, DRC na wazalendo kuwawekea mtego ili wasagwe kweli kweli.
M23 baada ya kuzidaka, haikukurupuka, ikajiandaa na kuwapa wanachostahili. Pichani ni badhi.

View: https://x.com/Mamaurwagasabo1/status/189108781509555819023

M23 ni kivuli tu cha RDF
 
Yule mwamba alienyonga vijana kule Kinshasa yuko wapi? Hapo ndo mahali sahihi kwa yeye kuonesha umwamba wake, badala ya kutumia madaraka yake kuuwa vijana wasiokuwa na uwezo wa kumiliki hata gobole.
 
Baada ya kuwa M23 iliingia mjini Bukavu jana jioni, iliendelea na mambo yake, na leo asubuhi ndo jeshi lake likawasili mpakani,na kukuta pako wazi, baada ya jeshi la serikali na wafanyakasi wa sekta mbali mbali.

Taarifa zilizopo, ni kwamba baada ya uwanja wa ndege wa Kavumu kukamatwa na M23, bunduki nzito zilielekezwa Rwanda. Kwa bahati mbaya, Rwanda kama ilichokifanya Goma, tayari ilishajiandaa kujibu mapigo.
Kwenye video hapo, mwanahabari kutoka Rwanda, anaonyesha picha ya kombola lililodunguliwa na mfumo wa kuzima makombola wa Rwanda. Hivyo, limezimwa kabla halijatua na kusababisha maafa.

Ikumbukwe, M23 ilichelewa kutangaza ushindi wa moja kwa moja mjini Bukavu, baada ya intelijensia yake kuwa na taarifa za wanajeshi wa Burundi, DRC na wazalendo kuwawekea mtego ili wasagwe kweli kweli.
M23 baada ya kuzidaka, haikukurupuka, ikajiandaa na kuwapa wanachostahili. Pichani ni badhi.

View: https://x.com/Mamaurwagasabo1/status/1891087815095558190

Serikali ya DRC sijui bado inangoja Nini kutangaza kwamba Mikoa ya Kivu Mashariki na Kivu Kusini haipo kwenye himaya za Utawala wake.
 
M23 ni kivuli tu cha RDF
Ni kweli, lakini ni Ukweli pia kwamba Utawala wa nchi hiyo ya DRC hauna uungwaji mkono wa kutosha kutoka kwa Wananchi wengi zaidi wa kawaida kwenye nchi hiyo.
Wananchi wengi zaidi wa DRC waliopo katika maeneo hayo yanayochukuliwa na M23 hawaukubali Utawala uliopo huko Kinshasa, wanawaunga mkono Waasi wa M23.
Hii ndio Hatari itokanayo na Utawala wa nchi au Serikali iliyopo madarakani kufanya Siasa mbaya za Kuwagawa Watu.
 
Back
Top Bottom