MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
Kama kawaida, habari ziwafikie wote mnaopenda vita(roho za wenzenu zipo juu, wengine wanakula kama hakuna kinachoendelea)
Toka jana, badhi ya maeneo mengi ya Bukavu, wanaonekana wanajeshi wa M23. Wamekaribishwa kwa shangwe,
Tangazo la kukomboa mji wa Bukavu halijatolewa. Chanzo nini? Tulia nikuhabarishe.
Baada ya hiyo jana jeshi la Burundi na Afrika kusini kunyang'anywa uwanja wa ndege wa Kavumu, jeshi la Burundi lilikimbia uelekeo wa Uvira. Mpaka sasa, inasemekana wanasubiliwa wanajeshi wa Afrika kusini na Burundi kuongeza nguvu, ili waikabili M23 ifukuzwe katika maeneo yote inayochunga kwa sasa.
M23 kwa upande wao pia, kila aina ya taarifa wanayo, na ndo maana hawataka kuingia mazima mjini au kutangaza chochote. Huenda na wenyewe wanajiandaa kucheza sebene hilo.
Ikumbukwe, baada ya South Africa kuipeleka Israel mahakama ya kimataifa ikishitakiwa mauaji halaiki huko Palestina, huyo ni adui wa msaouth aliejipatia njia nyepesi ya kumuweka kwenye kaangio.
Kila kinachojili, mtajuzwa tuu
Toka jana, badhi ya maeneo mengi ya Bukavu, wanaonekana wanajeshi wa M23. Wamekaribishwa kwa shangwe,
Tangazo la kukomboa mji wa Bukavu halijatolewa. Chanzo nini? Tulia nikuhabarishe.
Baada ya hiyo jana jeshi la Burundi na Afrika kusini kunyang'anywa uwanja wa ndege wa Kavumu, jeshi la Burundi lilikimbia uelekeo wa Uvira. Mpaka sasa, inasemekana wanasubiliwa wanajeshi wa Afrika kusini na Burundi kuongeza nguvu, ili waikabili M23 ifukuzwe katika maeneo yote inayochunga kwa sasa.
M23 kwa upande wao pia, kila aina ya taarifa wanayo, na ndo maana hawataka kuingia mazima mjini au kutangaza chochote. Huenda na wenyewe wanajiandaa kucheza sebene hilo.
Ikumbukwe, baada ya South Africa kuipeleka Israel mahakama ya kimataifa ikishitakiwa mauaji halaiki huko Palestina, huyo ni adui wa msaouth aliejipatia njia nyepesi ya kumuweka kwenye kaangio.
Kila kinachojili, mtajuzwa tuu