Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,490
- 7,422
Chanzo ni ubalozi wa India DRC M23 wapo umbali wa kilomita ishirini kuingia Bukavu.
Hiyo maana yake ni kuwa wapo wanagawa kichapo kwa Burundi na DRC combined na kama kawaida inaonesha kama ilivyokuwa Goma FARDC na majeshi ya hapo Bukavu watavua uniform na kutelekeza silaha kama kawaida yao.
Haya! Nawapa taarifa kwa ambao hawana lakini pia tuendelee kupeana updates hii battle ya Bukavug
Hiyo maana yake ni kuwa wapo wanagawa kichapo kwa Burundi na DRC combined na kama kawaida inaonesha kama ilivyokuwa Goma FARDC na majeshi ya hapo Bukavu watavua uniform na kutelekeza silaha kama kawaida yao.
Haya! Nawapa taarifa kwa ambao hawana lakini pia tuendelee kupeana updates hii battle ya Bukavug