Habari ya juzi,jana waliwarudisha nyuma,ila fardc walipoteza kamanda waoChanzo ni ubalozi wa India DRC M23 wapo umbali wa kilomita ishirini kuingia Bukavu.
Hiyo maana yake ni kuwa wapo wanagawa kichapo kwa Burundi na DRC combined na kama kawaida inaonesha kama ilivyokuwa Goma FARDC na majeshi ya hapo Bukavu watavua uniform na kutelekeza silaha kama kawaida yao.
Haya! Nawapa taarifa kwa ambao hawana lakini pia tuendelee kupeana updates hii battle ya Bukavug
Ndio ilivyoHizo vita waumiao ni raia tu daaah. Wote ni wachumia tumbo hao
Hawa Wahindi hawajui chochote wanatulisha matango pori tu, sio kila source tuikibali.Ubalozi wa India DRC
Sijajua kilometa ngapi,ila habari ya chimp reports ya saa 11 zilizopita ni hiyoWamerudishwa nyuma kilomita ngapi?
Sema wanatulisha pilipili muhindi na tango wapi na wapi?Hawa Wahindi hawajui chochote wanatulisha matango pori tu, sio kila source tuikibali.
Ivyo viguu ilitakiwa vinafungwa nyororo aburuzwe kwao hadi ngerengere.
LUbalozi wa India DRC