MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 817
- 593
Wakurugenzi wenu hao bwashee. Yani ni vilaza watupu hata kukagua document hayatilii maananiNi jambo jema!
Bwasheee kuna shida pahala fulani apo LumumbaNi jambo jema!
Akiona document inahusu CCM huwa wanachanganyikiwa hao wakurugenziImekula kwao CCM, tuone msimamizi kada atasema nini tena.
Wajinga sanaSheria za kihunihuni walitunga CCM wenyewe sasa wanakunywa dozi yao wenyewe. Tutaelewana tuu polepole
Ningemuita muweka pingamizi kwa jina lake aje ajieleze kujua je huyo wa Chama cha Mapindundi ndiye yeye huyo huyo wa Chama cha Mapinduzi au la. Akisema ndiye yeye, namuengua kwenye uchaguziUngekuwa wewe ungeamuaje hili? Chemsheni bongo kidogo wana JF.
Hata wewe kwa kosa hilo hilo ungeenguliwa na wenye kingereza chao wangesema katika lugha yetu hatuna tyiping ila tuna typingsaaa hiyo si tyiping error
Hawa ni vilaza fulu masinondaWakurugenzi wenu hao bwashee. Yani ni vilaza watupu hata kukagua document hayatilii maanani