Uchaguzi 2020 Bukene: Pingamizi dhidi ya mgombea wa CHADEMA lapanguliwa kisomi

MOSintel Inc

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2016
Posts
817
Reaction score
593
Anaandika kijana makini LUMOLA STEVEN (Mgombea ubunge bukene kupitia CHADEMA)
ZEDI SELEMANI JUMANNE

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi aliniwekea pingamizi lakini hakuwa makini kavunja kifungu Cha 40(3) Cha Sheria ya Taifa Uchaguzi, Sura ya 343. Kwenye pingamizi ameandika yeye ni Mgombea wa Chama Cha Mapindundi kama inavyosomeka kwenye Barua hapo chini. Hakuna Chama kinaitwa Chama Cha Mapindundi.


 
Uamuzi kwenye pingamizi hili ni nini? Naamini Msimamizi wa Uchaguzi , Jimbo la Bukene, atatumia busara Zaidi katika kufikia uamuzi wa pingamizi hili. Ungekuwa wewe ungeamuaje hili? Chemsheni bongo kidogo wana JF.
 
Aisee...

Sijui alikuwa na kilevi alipokuwa anaandika barua yake ya kuweka pingamizi?

Au haya ni makosa ya Msimamizi wa uchaguzi kukosa umakini?

Hii ni ishara kuwa wagombea wengi sana wa CCM wamefanya makosa mengi ktk kujaza fomu zao....
 
Wakati mwingine kusoma kwingi ni matatizo. Si angejibu tu hoja zilizoainishwa kwenye pingamizi?

Amandla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…