Uchaguzi 2020 BUKOBA: Aliyekuwa mgombea Ubunge (CHADEMA) na wanachama wengine wakamatwa na kupelekwa Mahakamani

Uchaguzi 2020 BUKOBA: Aliyekuwa mgombea Ubunge (CHADEMA) na wanachama wengine wakamatwa na kupelekwa Mahakamani

Kaa la Moto

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2008
Posts
7,904
Reaction score
1,064
Jana usiku walikamatwa Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya Bukoba Mjini, aliyekuwa mgombea Ubunge kupitia CHADEMA ambaye pia alikuwa meya wa Manispaa ya Bukoba, aliyekuwa mgombea udiwani kata ya Kashai na wanachama wengine wanne.

Hawa wamelala mahabusu polisi na kupelekwa Mahakamani kwa makosa ambayo hayajafamika.
 
Wachapwe mijeledi hao wasiachwe hivihivi. Wajinga mno
Kweli, Wachapwe Mijeledi Maana inabidi Wanyamazishwe. Hawana Haki ya Kudai Haki maana Watatusababishia tusipate maaendeleo na Usingizi bure. Chapa Mijeledi wajinga hao. Wakishanyamazishwa, na Sisitutanyamazishwa. Mawe yatatusemea/Haijawahi kutokea ukawanyamazisha wote ni swala la muda tu.
 
Jana usiku walikamatwa mwenyekiti wa CHADEMA wilaya Bukoba Mjini, aliyekuwa mgombea ubunge kupitia CHADEMA ambaye pia alikuwa meya wa Manispaa ya Bukoba, aliyekuwa mgombea udiwani kata ya Kashai na wanachama wengine wanne.

Hawa wamelala mahabusu polisi na kupelekwa mahakamani kwa makosa ambayo hayajafamika.
Unaleta habari nusunusu ili iweje? Makosa ambayo hayajafahamika...ndio nini?
 
Serikali ya kipumbavu na MAJUHA hii.
 

peno hasegawa Watu majukwaani wamejisahau wako upinzani na kusema CCM hoyee sembuse kwenye sanduku la kura?


John Pombe Magufuli ni kama maji, usipoyanywa utapikia, usipopikia utayaoga


😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom