Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Mahakama imewaachia huru wanachama watatu wa CHADEMA miongoni mwao akiwemo Meya wa zamani wa Manispaa ya Bukoba na aliyekuwa Mgombea Ubunge wa Bukoba Mjini,Chief Kalumuna waliokuwa wanakabiliwa na tuhuma ya kufanya fujo na kuharibu mali siku ya Uchaguzi Mkuu mwaka Jana.
Pia soma
Pia soma