BUKOBA: Sababu za umasikini wa mkoa wa Kagera! #2

Kuwatetea wana bukoba ni kazi sana.nikiona mtu anataja point ya vita ya uganda kuwa ni chanzo cha umasikini namshangaa sana.miaka arobaini imepita.
Muache ujuaji na misifa fanyeni kazi acheni kupenda makuu ndugu zangu
 
Kiukweli bukoba wenyewe kama wenyewe ni matajirii wakubwa mnooool ila mkoa wao kiujumla umekaa kimasikinii mnoooooo!!
 
Soma vizuri uelewe.......acha kuropoka
 

..serikali inapaswa kulaumiwa ktk hilo.

..kwanini haikupeleka mabwana misitu na mabwana shamba kuwaelekeza na kuwaongoza wananchi?
 
Wahaya wa Leo wamewekeza sana kwenye katerero, hizo sababu nyingine kwa wao kukosa maendeleo ni uzushi tu.
 
Wewe ni mpumbavu sana, hufai! bora unganyamaza kuficha ujinga wako!! na hiyo fani umeikurupukia achana nayo haikufai! hata co hayuko ivo!!
 
Wana Kagera rudishe majeshi nyuma, "kawekeze nyumbani, mmezidi kuwa wanyamahanga! "
Mazimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Ila ujuaji sasa[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Wewe ni mpumbavu sana, hufai! bora unganyamaza kuficha ujinga wako!! na hiyo fani umeikurupukia achana nayo haikufai! hata co hayuko ivo!!
Mpumbavu ni wewe mwenyewe unaekurupuka kutoa comment kwenye comment yangu........
 
Mpumbavu ni wewe mwenyewe unaekurupuka kutoa comment kwenye comment yangu........
Angalia unavozidi kuwa jinga!! jinga! hii siyo comment yako!!!...... ni ya JF!!….....umimi!! mimi!! tuuu hizi ni tabia za vitoto vya Bibi!! vilivyo telekezwa na Mama zao! kenyewe kanataka kale bakuli yake tuuu!...kamege kwake tuuuu!

Mkikua ndo km hivi hamjifichi! Yangu! yangu!! yangua!! yangu!! heee! kajiandikie inbox, au kwenye E-mali basi usomeee!.....uone km mtu atakufuata huko!!…….jambo lako likisha kaa humu basi ni suala la Dunia tena na tena!

siyo lako tena! mkoje nyie nyau?? ntawaelimisha mpaka lini mijitu mizima mna nywele nyeupe! kila mahala!? mfyuxxccvcxb?
 
Nyau ni wazazi wako
 
Mtu ameongelea Kagera nashangaa humu watu wamekazana Wahaya,wahaya,jamani mkoa wa Kagera kuna wanyambo,wahangaza,wasubi,na wahaya humu mmekaza mafuvu wahaya,wahaya,wahaya nyie waTZ mna shda gan na wahaya hao watu wengne hawahucki na maendeleo ya Kagera,,??
 
andiko lnajitoshereza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…