Bulaya: Fidia ya wanaoharibiwa mali na wanyamapori ni ndogo, kuna double standard

Bulaya: Fidia ya wanaoharibiwa mali na wanyamapori ni ndogo, kuna double standard

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya amesema kumekuwa na 'Double Standard' ambapo mifugo inapoingia hifadhini fidia kubwa hotozwa lakini wanyamapori kama Tembo wanapoenda kuharibu mali za wananchi fidia yake ni kidogo.

Akimjibu, Naibu Waziri wa Maliasili, Mary Masanja amesema ni kweli kumekuwa na changamoto ya wafugaji kutozwa fedha kubwa. Hata hivyo, ameeleza Serikali inachofanya ni kukemea uingizaji wa mifugo kwenye hifadhi.
 
Bora watutetee na sie Wakulima wa Mihogo tulipwe Fidia mana hawa Ngiri Pori ukiwapa Nusu SAA, Ekari 5 unazikuta zimelala chini..,
 
Back
Top Bottom