Uchaguzi 2020 Bulembo aahidi kumng'oa Zitto Kabwe kwa udi na uvumba

Mtani wangu Zito hongera kwa kuzaa na yule mdada mrembo
 
Hii ni statement au ni swali? Kwa sababu sioni alama ya kuuliza mwishoni bali kuna alama ya mshangao!
Statement haiwi na mshangao ina koma,hiyo msahngao haipo kwa bahati mbaya hapo.

Maana upo jamii forums unatoa yako ya moyoni,twiter upo,ukitaka facebook,na hata mtaani ukitaka ni wewe tu,kikubwa usitukane wala kudhihaki mtu.

Nashangaa sasa unataka uhuru upi??
 
umeifanya asubuhi yangu iwe nzuri Sana ww mr.njaaa,hebu nipe hiko Lisa kwa ufupi!!!mzeee kinamuuma mtoto kuliwa utamu SS sijui alitaka ale yeye🤣🤣🤣🤣🤣
 
Bulembo kwao ni ujiji? Maana ujiji ndiyo hawamtaki zzk
 
Rais wa twitan mh kigogo kampa onyo mzee bulembo asiendee na mambo ya kitoto nafikir ujumbe atakua kaupata

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 

Hivi huyu si alikuwa viti maalum?
 
Bulembo anachotafuta ni jinsi Mwenyekiti wa CCM taifa kumuangalia kwa jicho la huruma
CCM ya sasa haihitaji ushawishi wa wanasiasa aina ya Bulembo.
Kidumu chama cha CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…