Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
Mtani wangu Zito hongera kwa kuzaa na yule mdada mremboAkizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajili hiyo.
Sijui Zitto Kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Pia soma > Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo
Wewe ni miongoni mwa wanaudhurumiwa haki hizo!!!!Wapi nimesema kuwa hayo maswali ni ya msingi kwa kila mtu?haki zinazodhulumiwa nazitaja kila saa still unauliza ni zipi? Una tatizo gani?
Kumbe mnawahimiza kushindania uchawi , sio kwamba watailetea maendeleo yapi kigomaSafari hii uchawi wa zito utadunda mbele ya bulembo
Jamaa akavue migebuka tu
Statement haiwi na mshangao ina koma,hiyo msahngao haipo kwa bahati mbaya hapo.Hii ni statement au ni swali? Kwa sababu sioni alama ya kuuliza mwishoni bali kuna alama ya mshangao!
umeifanya asubuhi yangu iwe nzuri Sana ww mr.njaaa,hebu nipe hiko Lisa kwa ufupi!!!mzeee kinamuuma mtoto kuliwa utamu SS sijui alitaka ale yeye🤣🤣🤣🤣🤣Hala hala...Bulembo! kasome kisa cha Mfalme Midas, kinachoitwa "The Midas Touch", tunaojua chanzo cha chuki ya Bulembo kwa Zitto hatushangai, wasiwasi wangu ni badala ya Zitto kulia, asije kujikuta analia yeye!.
Japo najua kweli Bulembo yuko fit maana siku ile alipomhukumu kifo Zitto pale Bungeni, yeye mtoa hukumu anaendelea kudunda ila yule mshangiliaji hukumu ile kwa kupiga tu makofi amechomoka!.
Watu wengine sio wa kuchezea!
P
Hahaha wabongo noma eti halip wala nn duBinti yake mwenyewe halipi wala nini! Amekaa kama ile pyramid ya utumwa
Bulembo kwao ni ujiji? Maana ujiji ndiyo hawamtaki zzkAkizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajili hiyo.
Sijui Zitto Kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Pia soma > Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo
Rais wa twitan mh kigogo kampa onyo mzee bulembo asiendee na mambo ya kitoto nafikir ujumbe atakua kaupataAkizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajili hiyo.
Sijui Zitto Kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Pia soma > Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo
Kuna watu na viatu, hivi Bulembo ana lipi la kujilinganisha na Zzk? Iwe kujenga hoja au kukubalika kwa wana kigoma?
Zzk alijisimamia kugombea ubunge na mungu akamjalia akachaguliwa na wapiga kura wake.
Huyo Bulembo sijui kama hata anaweza kujieleza kuomba kura za ujumbe wa nyumba kumi.
Bulembo anachotafuta ni jinsi Mwenyekiti wa CCM taifa kumuangalia kwa jicho la hurumaAkizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajili hiyo.
Sijui Zitto Kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Pia soma > Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo