Tetesi: Bulembo kumrithi Kinana?

Tetesi: Bulembo kumrithi Kinana?

dafity

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2008
Posts
1,858
Reaction score
2,059
Naona Mwenyekiti wa WAZAZI-TAIFA anafanya ziara nchi nzima. Je ni maandalizi ya kupewa u-katibu mkuu ccm?
 
Dr Antony Diallo kumrithi Komredi Kinana.
 
Kila mkilitaja jina hili huwa nastukia hayupo tena kwenye kumbu kumbu zangu. Nisaidieni jama, si huyu ndo alipewa viti maalum au viti vya kuteuliwa?? Huenda akaamriwa kujiuzulu viti hivyo sijui maalum/teuliwa ili lichaguliwe jembe la kuiongoza wizara neti ilozoroteshwa ya Nishati/madini. Nadhani huu ndo mpango wenyewe
 
Mtajiju pole atakwenda kwa waganga tena NAFASI anaipenda


Swissme
 
Darasa la 7 kuwa katibu mkuu ,?
 
Bulembo hawezi kumrithi Kinana
 
Back
Top Bottom