Bulendu: Hizi ndo sababu kuu 3 za kwanini Katiba Mpya ni muhimu

Bulendu: Hizi ndo sababu kuu 3 za kwanini Katiba Mpya ni muhimu

DIZZO MTAWALA

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
240
Reaction score
767
Kwa nini mjadala wa Katiba ni muhimu?Sababu ni kuwa.

1.Hii ya 1977 iliandikwa ili kuuimarisha mfumo wa siasa za Chama kimoja na ililenga kukifanya chama cha Siasa kuwa juu ya hata Mihimili ya dola.

2.Iliandikwa ili kuhakikisha tunajenga taifa ambalo njia kuu za Uchumi zinakuwa chini ya miliki ya dola kwa kutumia mifumo ya uchumi wa ujamaa.

3.Iliandikwa bila kuwashirikisha wananchi, mwaka 1977 kulikuwa na majukumu mawili kuandika Katiba ya CCM na ile ya Nchi.

N.B
Zilikuwepo sababu za msingi kufanya hivyo kwa wakati huo.
1.miaka 5 nyuma taifa lilikuwa limepita kwenye misukosuko mingi ya kiusalama likiwepo suala la kifo cha Rais wa Zanzibar mwaka 1972.

2.Dunia ilikuwa kwenye vita baridi

3.Oparesheni vijiji vya ujamaa ilikuwa imeanza kufifisha umaarufunwa serikali na chama.
 
Baada ya 2025 tutafanya.


(Natania tu mama yukp tayari )
 
ILa MATAGA wanakwambia katiba mpya isubir kwanza maan watanzania hawawez kula katiba wala kunywa katiba!!!
 
Hivi St. Augustine muhadhiri anakaa na elimu Ile Ile kwa miaka yote?
 
Kwa nini mjadala wa Katiba ni muhimu?Sababu ni kuwa.
1.Hii ya 1977 iliandikwa ili kuuimarisha mfumo wa siasa za Chama kimoja na ililenga kukifanya chama cha Siasa kuwa juu ya hata Mihimili ya dola.

2.Iliandikwa ili kuhakikisha tunajenga taifa ambalo njia kuu za Uchumi zinakuwa chini ya miliki ya dola kwa kutumia mifumo ya uchumi wa ujamaa.

3.Iliandikwa bila kuwashirikisha wananchi, mwaka 1977 kulikuwa na majukumu mawili kuandika Katiba ya CCM na ile ya Nchi.

N.B
Zilikuwepo sababu za msingi kufanya hivyo kwa wakati huo.
1.miaka 5 nyuma taifa lilikuwa limepita kwenye misukosuko mingi ya kiusalama likiwepo suala la kifo cha Rais wa Zanzibar mwaka 1972.

2.Dunia ilikuwa kwenye vita baridi

3.Oparesheni vijiji vya ujamaa ilikuwa imeanza kufifisha umaarufunwa serikali na chama.
Huyu jamaa ana akili sn namkubali sn
 
Hivi St. Augustine muhadhiri anakaa na elimu Ile Ile kwa miaka yote?
Anza na elimu yako kwanza, huwa mnakimbilia muonekane mna elimu mkishindwa hoja, jibu hoja za jamaa acha ujinga, Lipumba ni Profesor lakini GSM sijui kama hata ana degree, nani mwenye faida kwa nchi kati ya Lipumba na GSM au Lipumba na Musukuma ama Lipumba na Kishimba? Elimu ya Tanzania ni makaratasi tupu ukinyang'anywa hayo makaratasi kichwani una baki na fuvu pekee
 
Yakuhusu Nini? Una uhakika Gani Kama hajiendelezi? Wewe tangu umalize darasa la nne c ulishawahi kuwaza kujiendeleza? Huna akili unazidiwa na mh. msukuma mweñye PhD yake ya michongo!
Musukuma la saba lakini kaajiri zaidi ya watanzania elf 5 yeye na Masters yake ameshindwa kuajiri hata house boy mmoja
 
4. Marais na viongozi wezi serikalini wanyongwe bila kufunguliwa mashitaka ili iwe mfani kwa viongozi wengine
5. Mtoto wa rais yeyote anayekamatwa na unga China inabidi naye anyongwe ili iwe fundisho kwa wengine
6. Kiongozi asiye na dira ya kuongoza nchi akamatwe na kufungwa
 
Yakuhusu Nini? Una uhakika Gani Kama hajiendelezi? Wewe tangu umalize darasa la nne c ulishawahi kuwaza kujiendeleza? Huna akili unazidiwa na mh. msukuma mweñye PhD yake ya michongo!
Punguza jazba
 
Back
Top Bottom