Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Hapakuwa na kitisho cha usalama kwa mTanzania yeyote wakati wa uchaguzi wa CHADEMA Taifa, bali ilikuwa ni drama ya kutafuta kiki, huruma kwa jamii na na baadhi ya viongozi wagombea kujaribu kuwapaint baadhi ya viongozi waandamizi ndani ya CHADEMA, kwamba ni watu tishio, wenye nia na mipango ovu dhidi ya maisha na uhai wa wengine ndani ya chama chao.
Kulikoni sasa baada ya uchaguzi wa CHADEMA kwisha, hakuna kitisho cha kiusalama kwa mTanzania yeyote, wala hakuna tuhuma wala mipango ovu ya utekaji, na wala hakuna anavaa bullet proof vest?
Imekuaje tena bullet proof vest haivaliwi, wakati ilifanyiwa hadi press conference, kwa makelele na mdomo sana?
Serikali sikivu ya CCM ilisingiziwa kila aina ya uovu wa ndani ya CHADEMA. Haya sasa mbona songombingo na ngojera za utekaji kimya baada ya uchaguzi wa CHADEMA kwisha? Bila shaka, ni wazi sasa tatizo lilikua ndani ya CHADEMA yenyewe.
Pia soma > Tundu Lissu arudisha fomu makao makuu ya CHADEMA akiwa amevaa bulletproof. Hii ina maana gani?
Ndugu zangu wadau,
zile sarakasi za wanachadema kupotea kila wakati wa uchaguzi wao wa ndani haikua drama miongoni mwao wenyewe na kusingizia wengine?
Wataalamu wa bobevu wa masuala ya kisiasa nchini,
tulisema kwamba katika uongozi uliopo kazi kubwa na ya maana sana itakayofanyika ni vikao vya kufukuzana uanachama, press conference za mikwara ya umbwa koko, vitisho vya maandamano na matamko yasiyo na kichwa wala maskio,
Wanachama wengi muhimu watajiengua CHADEMA kujitenga na uongozi wa juu usioaminika na ulioghubikwa na unafiki wa kiwango cha juu sana 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Kulikoni sasa baada ya uchaguzi wa CHADEMA kwisha, hakuna kitisho cha kiusalama kwa mTanzania yeyote, wala hakuna tuhuma wala mipango ovu ya utekaji, na wala hakuna anavaa bullet proof vest?
Imekuaje tena bullet proof vest haivaliwi, wakati ilifanyiwa hadi press conference, kwa makelele na mdomo sana?
Serikali sikivu ya CCM ilisingiziwa kila aina ya uovu wa ndani ya CHADEMA. Haya sasa mbona songombingo na ngojera za utekaji kimya baada ya uchaguzi wa CHADEMA kwisha? Bila shaka, ni wazi sasa tatizo lilikua ndani ya CHADEMA yenyewe.
Pia soma > Tundu Lissu arudisha fomu makao makuu ya CHADEMA akiwa amevaa bulletproof. Hii ina maana gani?
Ndugu zangu wadau,
zile sarakasi za wanachadema kupotea kila wakati wa uchaguzi wao wa ndani haikua drama miongoni mwao wenyewe na kusingizia wengine?
Wataalamu wa bobevu wa masuala ya kisiasa nchini,
tulisema kwamba katika uongozi uliopo kazi kubwa na ya maana sana itakayofanyika ni vikao vya kufukuzana uanachama, press conference za mikwara ya umbwa koko, vitisho vya maandamano na matamko yasiyo na kichwa wala maskio,
Wanachama wengi muhimu watajiengua CHADEMA kujitenga na uongozi wa juu usioaminika na ulioghubikwa na unafiki wa kiwango cha juu sana 🐒
Mungu Ibariki Tanzania