JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
“Kwa sasa CCM hai recruit Vijana wake kama zamani, vijana wameufanya uchawa kuwa kazi rasmi, taifa letu limejaa ubinafsi na unafiki wa hali ya juu sana, kuikosoa Serikali ni muhimu sana kwani inasaidia viongozi wetu kufanya vizuri zaidi” Buluba Mabelele - Mjumbe wa Mkutano Mkuu - CCM TAIFA
Chanzo: Star TV
Pia soma ~ Mjumbe wa Mkutano wa Taifa CCM, Buluba Mabelele "Rais ana mamlaka makubwa sana apunguziwe"