JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
“Rais ana mamlaka makubwa sana apunguziwe, wakati mwingine anazidiwa na wanaomzunguka kwa sababu Rais hayupo kila mahali” BULUBA MABELLE - MJUMBE WA MKUTANO MKUU - CCM TAIFA, wakati akizungumza kwenye mahojiano na Edwin Odemba.
Chanzo: Star TV
Pia soma ~ Mjumbe wa Mkutano Mkuu - CCM TAIFA "Kuikosoa Serikali ni muhimu, inasaidia Viongozi kufanya vizuri, Vijana wengi wamekuwa Chawa."