Buluba Mabelele: Rais ana mamlaka makubwa sana, apunguziwe

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
kwakweli muungwana ana mawazo mazuri mno ya kuondokea ccm,

na kwa siasa za Tanzania hiyo, ni ishara ya wazi na muhimu ya aliochoka upande moja na kuomba usajili upande mwingine kwa jirani, upande ambao hauna utaratibu wa kujitahimini na kujisahihisha kuhusu yale ambayo yanawahusu wenyewe...

ni aina ya watu ambao hata ukifuatilia maisha bidafsi ni zigzag tu hawez kudumu wala kutulia na familia moja, kwasabb ya mambo na changamoto ya ndani ya nyumba yake, anaweka wazi kwa umma 🐒
 
Lissu anakuambia "Imperial President". Huyu Kada wa ccm inabidi chama kitafute na kitengeneze makada wenye akili kama huyu. Sio machawa akina Mwijaku waongelee siasa. Ananikumbusha Dr Bashiru Ally kabla hajageuka nyuma na kuwa nguzo ya chumvi enzi zake kabla ya kulamba asali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…