Bummm la pili tayari

Mbona wenye Chuo chao wenyewe hawajapata? Namaanisha wa UD original na wewe unasema chezea UD...UD ipi?
Hivi tukisema uoneshe UD original ilipo utaweza? nijuavyo pale kuna CONAS,COET,SOED,COICT,that means DUCE ni kama COET, au SOED,hapo kwenye Rangi ulimaanisha nini? UD Original iko wapi?
 
Hivi tukisema uoneshe UD original ilipo utaweza? nijuavyo pale kuna CONAS,COET,SOED,COICT,that means DUCE ni kama COET, au SOED,hapo kwenye Rangi ulimaanisha nini? UD Original iko wapi?
Swali langu lilikuwa mtu anaposema chezea UD wewe wakati yupo DUCE na wale wa UD...i.e wa Main Campus hawajapata boom anataka kumaanisha nini? Kama unadhani SOED ni sawa na DUCE utakuwa umechemka
 
Uko chuo gani mkuu?naona kila dalili za jf kuvamiwa na mamluki

Haha ha hahahaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Jamani, kweli umenifurahisha. Hongera kijana. Kachukue hilo bummmm, urudi jamvini tubadilishane mawazo kabla hujaenda kufanya paper works.

Hongera sana.
 
wenzenu wanafurahia faida nyie mnafurahia mkopo???? ndo maana kiongozi wa nchi anakazana kila siku kutafuta mikopo....maisha yanasonga na madeni yanaongezeka!!!!
 
Tumechukua bummmm leo leaders club kwa JB MPIANA na mashujaaa.
 
Kawaida ya Binadamu au Mnyama yeyote hawezi kukosentret kama tumbo liko wazi, hata ukimpa kazi hawezi kufanya vizuri koz akili yake inafikiria jinsi ya kuishi which is the primary objective ya kila kiumbe hai (hata mimeya inasinyaa )!
wacha wafurahie Boom ili akili zao zikae sawa watashughulikiwa tu!

Lecturers, professors etc, hawa 'form 1' wenu hamuwapi kazi mpaka wanapata muda wa kufurahia booom?? Mngelikuwa mmewabana kisawasawa hawawezi kuchekelea senti tano hizo. ndio maana products zenu ni maji ya maharage. wape kazi wape kazi!!!!!!!!!!!
 
 
 
 
Reactions: SG8
aiseeeee babaangu ngoja nimpigi baba mkandala nimulize au ngoja nijaribu ya maboko au dr kitila
 
 
Reactions: SG8
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…