chuki
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,715
- 534
"Mmoja amlima barua mwenzake ili makao makuu waingilie kati" barua imeambatanishwa.
Hali inazidi kuwa tete Wilaya ya Bunda baada ya Viongozi wa CCM wilaya kushutumiana kula rushwa za Mtia Nia Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma.
Viongozi hao wamefikia hatua mbaya ya kushutumiana na kuomba ofisi za CCM Makao makuu kuingilia kati ili kuinusuru ofisi hiyo maana pesa za Mhindi huyo ziwatia upofu na kukuta kila mmoja anatamani afanye kazi ya mwenzake ili kumfurahisha Mtoa pesa.
Kabla uzi huu haujapanda hapa tayari Mwenyekiti wa CCM Wilaya na Mwenezi wa CCM Wilaya wamewachukua kundi la Wanawake na kuwapeleka Mji mdogo wa Magu ili kufanya kampeni za kificho maana kila wanalofanya Bunda Mjini limekuwa likitoka haraka, Katika jukumu hilo ambalo limeongozwa na Mwanamke aitwae Theopista Machupa liliwakusanya wanawake wa UWT ili wakaonane na Mhindi huyo hapo Magu, chini ya usimamizi wa Mkiti na Mwenezi wa Wilaya.
Mtoa habari anasema kila Mwanamke alipewa Kitenge kimoja na Elfu Hamsini ili kumsaidia bwana Zury Nanji ambaye aliongea nao siku hiyo hapo Magu.
Katika Hali ya sintofahamu kundi hilo likiwa katika Hotel moja ya kificho Askari na Mgambo wa Operation ya kuzuia Mikusanyiko ya kuzuia Ugonjwa wa Corona waliwakurupua jambo ambalo lilimfanya Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda akurupuke kukimbia almanusura avunjike mguu akidhani kuwa ni Takukuru.
Zury Nanji amenunua ofisi nzima ya Chama na kuhonga kila mtu kitendo kilichomchefua Mkiti wa Vijana Wilaya na kuamua kuandika Barua Makao makuu ya CCM ili waingilie kati sakata la Milungula ndani ya chama.
Kabla ya uchaguzi wa kura za maoni tutashuhudia kila rangi, huku makundi ya wagombea yakishtumiana kutoboreana siri.
Hali inazidi kuwa tete Wilaya ya Bunda baada ya Viongozi wa CCM wilaya kushutumiana kula rushwa za Mtia Nia Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma.
Viongozi hao wamefikia hatua mbaya ya kushutumiana na kuomba ofisi za CCM Makao makuu kuingilia kati ili kuinusuru ofisi hiyo maana pesa za Mhindi huyo ziwatia upofu na kukuta kila mmoja anatamani afanye kazi ya mwenzake ili kumfurahisha Mtoa pesa.
Kabla uzi huu haujapanda hapa tayari Mwenyekiti wa CCM Wilaya na Mwenezi wa CCM Wilaya wamewachukua kundi la Wanawake na kuwapeleka Mji mdogo wa Magu ili kufanya kampeni za kificho maana kila wanalofanya Bunda Mjini limekuwa likitoka haraka, Katika jukumu hilo ambalo limeongozwa na Mwanamke aitwae Theopista Machupa liliwakusanya wanawake wa UWT ili wakaonane na Mhindi huyo hapo Magu, chini ya usimamizi wa Mkiti na Mwenezi wa Wilaya.
Mtoa habari anasema kila Mwanamke alipewa Kitenge kimoja na Elfu Hamsini ili kumsaidia bwana Zury Nanji ambaye aliongea nao siku hiyo hapo Magu.
Katika Hali ya sintofahamu kundi hilo likiwa katika Hotel moja ya kificho Askari na Mgambo wa Operation ya kuzuia Mikusanyiko ya kuzuia Ugonjwa wa Corona waliwakurupua jambo ambalo lilimfanya Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda akurupuke kukimbia almanusura avunjike mguu akidhani kuwa ni Takukuru.
Zury Nanji amenunua ofisi nzima ya Chama na kuhonga kila mtu kitendo kilichomchefua Mkiti wa Vijana Wilaya na kuamua kuandika Barua Makao makuu ya CCM ili waingilie kati sakata la Milungula ndani ya chama.