Bunda mpo tayari? The return of Comrade Wasira

Wasira apumzike! Imetosha!! Nadhani hata Chama hakiwezi kumpitisha!!
 
Hapana...

Komredi Wassira apumzike tena...[emoji120]

#SiempreCCM[emoji120]
 
Cha ajabu Bulaya atachukua fomu kupitia CHADEMA na hakuna kitu makao makuu itafanya maana itakua too late na fomu Ina mhuri wa NEC. Inabidi haya mambo yawekwe vizuri mapema tusije jikuta Kila Jimbo tuna wagombea ambao hawakupewa fomu za chama alafu yakatokea kama ya viti Maalum tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…