tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,323
Naona Bundi ameshatua Msimbazi hata mzunguko wa kwanza haujaanza.
Simba mjipange kwa kuchukua Kombe na si kuanza kugombea kumiliki Timu.
Na hapo ndipo Yanga anapochukua nafasi na kuchukua Kombe tena msimu huu.
Naona maneno ya kibaguzi si mazuri Katika mikutano yetu.....Simba asili na Simba wahindi. Haya ni maneno ya kuyapiga vita kila iitwapo leo.
Sisi wote ni watanzania na tunaipenda nchi yetu na Mpira wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Simba mjipange kwa kuchukua Kombe na si kuanza kugombea kumiliki Timu.
Na hapo ndipo Yanga anapochukua nafasi na kuchukua Kombe tena msimu huu.
Naona maneno ya kibaguzi si mazuri Katika mikutano yetu.....Simba asili na Simba wahindi. Haya ni maneno ya kuyapiga vita kila iitwapo leo.
Sisi wote ni watanzania na tunaipenda nchi yetu na Mpira wetu.
Mungu ibariki Tanzania.