Moto utawaka zaidi kama watafungwa na Yanga kwenye ngao ya hisani. Tuwaombee waje kushinda hiyo GAME.
Sent using
Jamii Forums mobile app
Wanayanga mnaandika sana kuhusu Simba sc.
Yaani kila mahali mnaandika kuikosoa Simba sc.
Ivi mnamatatizo gani ?
Wakati wa Manji mlishatufunga nje ndani, yaani mechi zote mbili za ligi, mlipowatumia akina Kessy na Kiiza, Simba ilitulia tu.
Sasa hivi kila ukisoma site za mitandaoni utaona Yanga wanaandika kuikejeri Simba sc, mara Saba bila, mara Ubaguzi kwa wahindi na waarabu, mara Niyonzima.
Yaani ni kelele kila kukicha.
Kila mda mnaanzisha (thread) mada za kuikejeri Simba. Ivi Manji alikuwa mmakonde ?
Hamjifunzi kwa wenzenu Simba sc jinsi wanavyowapotezea tu na wala hawawaandikii mada nyingi za kuwakejeri.
Inaonekana wengi we mko vijiweni tu hamna cha kufanya zaidi ya kusogoa.
Au mnaihofia sana Simba sc na mnaiota kila wakati.
Mnaanza kuchosha mitandaoni hata kama ni utani nyie mmezidi sana.
Angalieni humu ktk Jamii forum, hakuna mada iliyoanzishwa inayoikejeri Yanga fc, kama ikiwepo basi moja au mbili.
Sasa mhesabu mada za Wanayanga kuidhihaki Simba sc, zinazodi kumi, na kila siku inatoka mpya.
I think there is something wrong in your fore-head.
Hefu fuatilieni timu yenu.
Mjipime na mjiongeze sasa.