Bundi limetua act wagombea uraisi watatu wamefariki kulikoni

Ashampoo burning

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2023
Posts
593
Reaction score
2,219
Act ni chama kipya hapa nchini kilianzishwa baada fujo kule chadema mwaka 2013(kama nimekosea mwaka) wakati zitto akitaka kugombea uenyekiti mbowe akamfukuza ndo ACT ikazaliwa

Zitto binafsi niliwahi fanya nae mazungumzo ya simu sehemu moja nilipoona ana chuki za wazi kwa magu...pia ni mdini mdini niliacha kabisa kumkubali kwenye simu ile alitoa maneno ya hovyo sana juu ya magu nakumbuka ilikuwa saa tatu usiku siku hiyo

Tuachane na hayo ila zitto chama chake kuna shida gani mbona wagombea wake wote toka chama kimeanza wamefariki ....

Wasije watu wakaanza kuogopa kugombea

Tukianza mama magwila tumezika, seif tumezika ,,membe tumezika RIP

Kuna bundi / roho ya vifo ACT maombi muhimu ....au wakishindwa wafukie mbuzi ishirini pale magomeni
 

Attachments

  • images.jpeg-5.jpg
    54.7 KB · Views: 1
Ujiji na kakonko wanamtaka mwana wao agombee!
 
Jf ilikuwa ya 2015 - 2020
Hii ya sasa ina members wa ajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…