Bundi Nyumbani Kwangu

Bundi Nyumbani Kwangu

Gily Gru

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
8,632
Reaction score
23,673
Mara ya kwanza kumuona bundi akiwa amekaa au ame chill kwenye fisher board nyumbani ndio ilikuwa mara ya kwanza kumshuhudia bundi kwa macho. Siku hii ilikuwa mchana mapema

Toka nimuone bundi nyumbani kwangu hii imekuwa ni mara ya nne nashuhudia bundi katika maeneo haya.

Cha kushangaza bundi wote wanne ni wa rangi tofauti. Bundi niliyemuona leo mda huu naandika ana rangi ya njano usoni

Bundi niliyemuona last time alikuwa mweupe ana madoa meusi mwili mzima

Bundi niliyemuona kabla ya huyu alikuwa na rangi nyingi

Imekuwa kero kwangu kuona bundi, maeneo ya Dar -Manzese, tena wakiwa wa rangi tofauti. Kuna jamii ya bundi kiasi gani maeneo haya mpaka wanakuwa wengi kiasi hiki

Mwisho, hawajawahi kulia hawa bundi. Wananyatia tu, Je napenda kuuliza hali hii ni ya kawaida?
 
Bro nimeshangaa avatar Yako imefanana na bundi, just have a look of it. Anyway, nilijua upo Wilayani vijijini huko kumbe upo katikati ya Jiji.
Hao bundi wa mujini wanaendana na mikosi na nuksi, na pia huenda one of your neighbours ana matunguri NA akishayatuma huko basi mida hii ndio yanarudi na bahati mbaya unakutana nayo.
Uzuri ni kwamba kwakuwa hawalii wapo silent basi hawana madhara kwako, ila mind you, siku wakianza kutoa ile milio yao itakuwa too late.
Ushauri : Anza kutafuta sehemu nyingine ya kuhamia, hapo ulipo kuna mambo mengi.
 
Humu JF kuna Watu bado ni natives sana,

Hivi kweli unamtishia Mwenzako na Mandege hayo?,
Wachawi Possibly wapo, ila ukiwapa kiki watakutesa sana.

Mtoa mada, mimi nikushauri Usiyape attention hayo madude hasa za kishirikina.
 
Mara ya kwanza kumuona bundi akiwa amekaa au ame chill kwenye fisher board nyumbani ndio ilikuwa mara ya kwanza kumshuhudia bundi kwa macho. Siku hii ilikuwa mchana mapema

Toka nimuone bundi nyumbani kwangu hii imekuwa ni mara ya nne nashuhudia bundi katika maeneo haya.

Cha kushangaza bundi wote wanne ni wa rangi tofauti. Bundi niliyemuona leo mda huu naandika ana rangi ya njano usoni

Bundi niliyemuona last time alikuwa mweupe ana madoa meusi mwili mzima

Bundi niliyemuona kabla ya huyu alikuwa na rangi nyingi

Imekuwa kero kwangu kuona bundi, maeneo ya Dar -Manzese, tena wakiwa wa rangi tofauti. Kuna jamii ya bundi kiasi gani maeneo haya mpaka wanakuwa wengi kiasi hiki

Mwisho, hawajawahi kulia hawa bundi. Wananyatia tu, Je napenda kuuliza hali hii ni ya kawaida?
Kuna mgonjwa wa muda mrefu, au mwenye hali mbaya!? 🤔
 
Mara ya kwanza kumuona bundi akiwa amekaa au ame chill kwenye fisher board nyumbani ndio ilikuwa mara ya kwanza kumshuhudia bundi kwa macho. Siku hii ilikuwa mchana mapema

Toka nimuone bundi nyumbani kwangu hii imekuwa ni mara ya nne nashuhudia bundi katika maeneo haya.

Cha kushangaza bundi wote wanne ni wa rangi tofauti. Bundi niliyemuona leo mda huu naandika ana rangi ya njano usoni

Bundi niliyemuona last time alikuwa mweupe ana madoa meusi mwili mzima

Bundi niliyemuona kabla ya huyu alikuwa na rangi nyingi

Imekuwa kero kwangu kuona bundi, maeneo ya Dar -Manzese, tena wakiwa wa rangi tofauti. Kuna jamii ya bundi kiasi gani maeneo haya mpaka wanakuwa wengi kiasi hiki

Mwisho, hawajawahi kulia hawa bundi. Wananyatia tu, Je napenda kuuliza hali hii ni ya kawaida?
"ame chill kwenye fisher board"! Kinekhe ngosha! Sasa haya mambati mapilipili na masamaki yakhe?
 
Back
Top Bottom