Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii sentensi ni ya ujumla JUMLA sanaUnategemea nini bunge liwe chini ya Ndugai? umewahi kuona mgogo mwenye mafanikio katika jambo lolote?
Mkuu nitajie mgogo mmoja tajiri?Mkuu hii sentensi ni ya ujumla JUMLA sana
NdugaiMkuu nitajie mgogo mmoja tajiri?
Ndugai siyo mfanyabiashara, anapiga mzigo wa bunge na kwa wale covid 19Ndugai
Anajifananisha na makinda naona makinda alikuwa jembeUnategemea nini bunge liwe chini ya Ndugai? umewahi kuona mgogo mwenye mafanikio katika jambo lolote?
Duh!Ama kweli mmemchoka agwe!Siku hizi anatupia na kizungu kidogo anapoongea ili mumuone baab kubwa!😝😝😝😝😝Unategemea nini bunge liwe chini ya Ndugai? umewahi kuona mgogo mwenye mafanikio katika jambo lolote?
Unategemea nini bunge liwe chini ya Ndugai? umewahi kuona mgogo mwenye mafanikio katika jambo lolote?
Sawa huyo ni weweWanadam tumetofautiana sana kuhusu dhana ya kufanikiwa, bahati nzuri kuna mjumbe katoa angalizo kuwa kauli yako ni jumuishi sana nawe uka pin point Utajiri!. Sawa, kwako na baadhi ya walimwengu wanaamini kufanikiwa ni kuwa na Ukwasi wa Mali na Fedha, sisemi mnakosea, ila Dhana ya mafanikio kila mtu anaitafsiri kutokana na kuridhika kwa nafsi yake kwa kile anachojaaliwa kukipata baada ya kukitamani. Huko ndiko kufanikiwa kwa ujumla!. Kwangu mie naona sio tu Ndugai amefanikiwa bali hata Mangula na Kibajaji wamefanikiwa! Sijamsahau Msekwa(sijui ni mgogo yule[emoji848]) wangapi wamezitamani nafasi zao na hajafanikiwa? Mie Mbondei na wala sijaoa Mgogo,hata kuwekeza chochote Ugogoni sijafikiria ila nawajua wagogo wengi wenye maisha ninayoyatamani.
Hatari snDuh!Ama kweli mmemchoka agwe!Siku hizi anatupia na kizungu kidogo anapoongea ili mumuone baab kubwa!😝😝😝😝😝