Huyu mama hakuna kitu kabisa. Bora km ni mwanamke wangemchagua Anna Abdalah kwani yeye anao uwezo mkubwa kiutendaji na confidence sio huyu. Dont expect any changes kwani alikuwa hivi tangu bunge lililopita so no changes. Kuhusu Simba, huyo ndo aliyeingiza hoja ya kuchagua wanawake watupu and she was against Sitta, kwa hiyo mafisadi wanajua what they are doing with her. Kwani kwa mujibu wa Mwanahalisi la jana, majina yaliyopitishwa na kamati kuu kabla ya kuletwa kwenye CC, yaliuwa ni Sitta, Anna makinda & Anna Abdallah, ila hapo ndo moto wa watu wa Rostam akiwemo Makamba ulipowaka baada ya kuoan jina la Sitta na huyu mama akakomaa sana.Huoni Kinana kajitoa kwenye haya mambo?? Yeye alitaka Sitta aendelee kuwa spika na ht Membe, Nchiligati wote walikuwa kwa Sitta.